Ohoo, so nikienda sehemu kama hiyo naweza pata vitu kwa bei nafuu kwa walioshindwa kugomboa.Naomba nikueleze kwa mfano maana sijui kiswahili chake.
Nafungua Ofisi... unapatwa na shida ya pesa lakini una gari/laptop/chochote kile...
Unakuja unakileta kwangu nakupatia pesa kwa makubaliano.
Baadae unarudisha pesa yangu na cha juu nakupatia kitu chako...
Ukishindwa kurudisha pesa kwa muda tuliokubaliana nauza.
Unaanza na bidha ambazo unaweza kuzithaminisha mwenyewe mkuu.Boss kwanini hii idea tusifanyie kazi, ila inataka manpower kubwa. Kuanzia kwa wathamishaji wa mali, walinzi, nk
For long ni nzuri sana itakulipa mno ukishajenga jina.
Kwa Dar sifahamu mkuu ila Dodoma ipo, nimewahi kupata huduma hiyo kipindi flani baada ya kutingwa.Zipo wapi mkuu kwa Dar ukiachana na hizi za vito.
Mbona hii biasahara ipo imejaa mtaanni watu wanapoteza vitu vyao kila siku, wanapeleka tv na kadhalika kwa hawa wakopeshaji wakishindwa lipa wanauza.Naomba nikueleze kwa mfano maana sijui kiswahili chake.
Nafungua Ofisi... unapatwa na shida ya pesa lakini una gari/laptop/chochote kile...
Unakuja unakileta kwangu nakupatia pesa kwa makubaliano.
Baadae unarudisha pesa yangu na cha juu nakupatia kitu chako...
Ukishindwa kurudisha pesa kwa muda tuliokubaliana nauza.
Unaanza na bidha ambazo unaweza kuzithaminisha mwenyewe mkuu.
Ila mlinzi lazima maana unaweza kuchezea muda wowote.
Hadi sasa hakuna aliyenijibu kama kisheria inaruhusiwa hapa nyumbani.
Sikuulizia hayo mkuu.
Unaanza na bidha ambazo unaweza kuzithaminisha mwenyewe mkuu.
Ila mlinzi lazima maana unaweza kuchezea muda wowote.
Hadi sasa hakuna aliyenijibu kama kisheria inaruhusiwa hapa nyumbani.
SASA WE JAMAA UNATAFUTA HAYO MAMBO KARIAKOO WAKATI KILA BIASHARA MJINI NI PAWN BUSINESS..BAR,MAMA NTILIE,MANGI...HAWA JAMAA WANA VIFAA VINGI VYA WAKOPAJI UTAFIKIRI SACOSSNaomba nikueleze kwa mfano maana sijui kiswahili chake.
Nafungua Ofisi... unapatwa na shida ya pesa lakini una gari/laptop/chochote kile...
Unakuja unakileta kwangu nakupatia pesa kwa makubaliano.
Baadae unarudisha pesa yangu na cha juu nakupatia kitu chako...
Ukishindwa kurudisha pesa kwa muda tuliokubaliana nauza.
Hapana mkuu..mimi nilikuwa nauliza ofisi ambayo kisheria inafanya hiyo kazi tu.SASA WE JAMAA UNATAFUTA HAYO MAMBO KARIAKOO WAKATI KILA BIASHARA MJINI NI PAWN BUSINESS..BAR,MAMA NTILIE,MANGI...HAWA JAMAA WANA VIFAA VINGI VYA WAKOPAJI UTAFIKIRI SACOSS
Hapana mkuu..mimi nilikuwa nauliza ofisi ambayo kisheria inafanya hiyo kazi tu.
Mama ntilie gani mkuu nikipeleka kito changu atanipa milioni 1. Naomba nielekeze nina shida.
Nipo mkoani Dar Vingunguti.
Ah ah sikia kila eneo lina taratibu na watu wanaofanya kitu flani...usa,ulaya wenzetu wameendelea ndo wana hizo pawn shop ..bongo hapa nenda kisaccoss chochote acha funguo ya gari upewe hata million 10 ujue tu riba yao 20%-30% kwa mwezi ka ukiwezaHapana mkuu..mimi nilikuwa nauliza ofisi ambayo kisheria inafanya hiyo kazi tu.
Mama ntilie gani mkuu nikipeleka kito changu atanipa milioni 1. Naomba nielekeze nina shida.
Nipo mkoani Dar Vingunguti.
Mi najua Pawn samaki mpaka nikataka kusema hivi pawn walivyojaa Mpaka mtu anawauliziaMi nikajua ni aina ya samaki..[emoji23]
Hapo ndipo swali langu lilipokuwa Monk..Mkuu shida inawezakuwa ni uhitaji wa mkopo wa pesa na kuna hawa jamaa wanakopesha kwa riba licha ya kwamba ni kubwa lakini mchakato wake ni mrefu.
Sasa hayo maduka yangekuwepo inamaana unaenda na kitu/ bidhaa yako wanaithaminisha unaacha hapo wanakupatia mpunga unatembea. Sifikirii kama hapa kwetu wapo na wanajulikana kisheria.
Asante saana mkuu...nimeelewa.Ah ah sikia kila eneo lina taratibu na watu wanaofanya kitu flani...usa,ulaya wenzetu wameendelea ndo wana hizo pawn shop ..bongo hapa nenda kisaccoss chochote acha funguo ya gari upewe hata million 10 ujue tu riba yao 20%-30% kwa mwezi ka ukiweza