Payoneer account verification

Payoneer account verification

Tinnvibez

Member
Joined
Oct 27, 2020
Posts
6
Reaction score
4
Habari,

Bila shaka uko poa. Mimi ni Freelancer na nauza mziki wangu kwenye majukwaa mengi ya kimuziki. Nimejiunga na Payoneer NIDA na kila kitu kimekubali shida kwenye Utility au Bank Statement.

Nishafanya ku-upload Bank Statement, utility ili wa-verify address wanavosema ila inakaa. Nikawa nataka kujua kwa wataalamu hapo nifanye namna gani niweze kuwa approved na niweze anza fanya miamala.

Na Address number naweka namba gani?

Shukran In advance.
 
Tumia utility bill kama water & Electricity Bill, hizi Bank Statement za CRDB hazionyeshi address wanazohitaji Payoneer.

Mimi nilitumia lease contract wakakubali chap
Shukran sana japo nishajaribu nunua gas bill nimewatumia juzi huwa wanajibu ndani wa 24hrs kwa previous documents nilizo-upload kwao japo zili-fail ila hii naona imechelewa maybe tuone wanaweza wakawa wame-approve. Pia nina shida na address namba pale nazipata wapi???
 
Tumia utility bill kama water & Electricity Bill, hizi Bank Statement za CRDB hazionyeshi address wanazohitaji Payoneer.

Mimi nilitumia lease contract wakakubali chap
Lease contract ndio kwa mwenye nyumba si ndiyo??? Sorry pia nna shida kujua address namba huwa inatakiwa zijazwe namba zipi maana nimenunua gas bill kuna group telegram la Grey kaniuzia ila haina address namba. Shukran in advance 😇
 
Yeah!! Mi ni producer mkuu
Safi sana Mkuu, so unauza beats tu or wimbo uliokamilika? Genre gani hasa ?

Jina lako halisi linaanza na herfu gani yawezekana nakufahamu 😄
 
Habari,

Bila shaka uko poa. Mimi ni Freelancer na nauza mziki wangu kwenye majukwaa mengi ya kimuziki. Nimejiunga na Payoneer NIDA na kila kitu kimekubali shida kwenye Utility au Bank Statement.

Nishafanya ku-upload Bank Statement, utility ili wa-verify address wanavosema ila inakaa. Nikawa nataka kujua kwa wataalamu hapo nifanye namna gani niweze kuwa approved na niweze anza fanya miamala.

Na Address number naweka namba gani?

Shukran In advance.
Inahitaji pysical address. Edit bank statement, weka jina la mtaa, namba ya mtaa mpaka namba ya nyumba. Kuwa makini editi iwe ya kiwango cha kimataifa la sivyo wataifunga account yako.
 
Ndiyo lakini hiyo lease agreement iwe na majina Yako sahihi na address Yako sahihi yaani taarifa zilizopo Payoneer zifanane na taarifa zilizopo kwenye lease agreement. Kuna lease agreement nilitumia kuverify ningeipost hapa ila nimeitafta kwenye simu yangu siioni tena
Lease contract ndio kwa mwenye nyumba si ndiyo??? Sorry pia nna shida kujua address namba huwa inatakiwa zijazwe namba zipi maana nimenunua gas bill kuna group telegram la Grey kaniuzia ila haina address namba. Shukran in advance 😇
 
Ndiyo lakini hiyo lease agreement iwe na majina Yako sahihi na address Yako sahihi yaani taarifa zilizopo Payoneer zifanane na taarifa zilizopo kwenye lease agreement. Kuna lease agreement nilitumia kuverify ningeipost hapa ila nimeitafta kwenye simu yangu siioni tena
Daah ungeituma ingekua umetusaidia kweli kaka
 
Back
Top Bottom