Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Habari wapendwa,
Nilikuwa natembelea mtandao wa PAYPAL nikagundua kuwa watanzania wanaruhusiwa kutumia huduma ya Paypal ambayo imeonekana kuwa salama sana kwa kuepusha kutapeliwa
LAKINI Ikitokea mteja uliyefanya naye biashara anataka kutapeli, PAYPAL huchukua jukumu la kurudishia hela kwa mteja; Kilichonishangaza eti kwa Tanzania ipo kwenye Nchi ambazo mteja hawezi KURUDISHIWA HELA ZAKE...Sijaelewa hapo tatizo lipo wapi kwani jirani zetu KENYA, Africa kusini nk wao hufanya biashara kwa kujiamini kwani ikitokea tatizo hurudishiwa hela zao moja kwa moja kwenye account zao.
Kwa anayejua sababu anijuze.... na kama ilikuwa sheria ya Zamani, wanaohusika sasa waende na wakati kwa kuruhusu hela zirudi Nchini ili watu wafanye biashara na kunufaika bila kuogopa kutapeliwa
Nilikuwa natembelea mtandao wa PAYPAL nikagundua kuwa watanzania wanaruhusiwa kutumia huduma ya Paypal ambayo imeonekana kuwa salama sana kwa kuepusha kutapeliwa
LAKINI Ikitokea mteja uliyefanya naye biashara anataka kutapeli, PAYPAL huchukua jukumu la kurudishia hela kwa mteja; Kilichonishangaza eti kwa Tanzania ipo kwenye Nchi ambazo mteja hawezi KURUDISHIWA HELA ZAKE...Sijaelewa hapo tatizo lipo wapi kwani jirani zetu KENYA, Africa kusini nk wao hufanya biashara kwa kujiamini kwani ikitokea tatizo hurudishiwa hela zao moja kwa moja kwenye account zao.
Kwa anayejua sababu anijuze.... na kama ilikuwa sheria ya Zamani, wanaohusika sasa waende na wakati kwa kuruhusu hela zirudi Nchini ili watu wafanye biashara na kunufaika bila kuogopa kutapeliwa