PBZ Bank mbona biashara imewashinda mapema mno?

PBZ Bank mbona biashara imewashinda mapema mno?

Nyanje

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
763
Reaction score
680
Binafsi baada ya kuona mnajinadi nikajua mkombozi amepatikana dah!

Kumbe zilikuwa mbwembwe tu, Sasa yapata mwezi na kitu baada ya kufanya mchakato wa kuwakopa na nilikamilisha vigezo vyoote na wakaniambia ndani ya masaa 48 mzigo utakuwa umeiva.

Hayo masaa 48, imefika mwezi na ushee Sasa ukiuliza tatizo mtandao, kwani mimi nilikopa mtandaoni!?

Toeni mzigo huo au na nyie ni kausha damu mliochangamuka!?
 
Ni kweli aiseee sijui hizi bank imekuaje hela za kukopesha watu hakuna kabisa si PBZ tu hata NBC na CRDB ni changamoto.benk pekee unayoweza kupata pesa kwa haraka ni NMB tu kwa sasa
Kuanzishwa Kwa mfumo wa ess.utumishi kumerahisisha utoaj wa mikopo Kwa watumishi , na kupandisha watumishi madaraja kwa wakat kumewapa nguvu watumishi hivyo wamekopa Sana had kuzifanya bank kuwa na pesa nyingi mno nje.
 
Nenda Kaongee Nao.
PBZ Ni Banki Kongwe na haina shida katika swala Zima la Ukopeshaji.
Huenda Bado hujakidhi vigezo.
Kuja kuongea mtandaoni kutakufanya ukose sifa ya kukopesheka.
Aongee nao mala ngapi mkuu mwanzako amesema anataka mzigo sio ukongwe angekua hajakamilisha vigezo wasingemwambia mzigo utakuwa tayari ndani ya saa 48 tafakari!
 
Aongee nao mala ngapi mkuu mwanzako amesema anataka mzigo sio ukongwe angekua hajakamilisha vigezo wasingemwambia mzigo utakuwa tayari ndani ya saa 48 tafakari!
Ndio namshauri aende kuongea nao na kuwasumbua, ili ajue nini kinachelewesha kuweka mzigo.
Sisi pia tumekopa ktk hiyo bank na ilitubidi tuwakumbushe kwa kuongea nao mala kwa mala Hadi wakaweka mzigo
Maisha ni kuyapambania na sio kulalamika.
 
Ndio namshauri aende kuongea nao na kuwasumbua, ili ajue nini kinachelewesha kuweka mzigo.
Sisi pia tumekopa ktk hiyo bank na ilitubidi tuwakumbushe kwa kuongea nao mala kwa mala Hadi wakaweka mzigo
Maisha ni kuyapambania na sio kulalamika.
Sasa ukiuliza tatizo mtandandao kwani mimi nilikopa mtandao!?Kwa maelezo hayo kwa vyovyote ameshawauliza
 
Binafsi baada ya kuona mnajinadi nikajua mkombozi amepatikana dah!

Kumbe zilikuwa mbwembwe TU, Sasa yapata mwezi na kitu baada ya kufanya mchakato wa kuwakopa na nilikamilisha vigezo vyoote na wakaniambia ndani ya masaa 48 mzigo utakuwa umeiva

Hayo masaa 48 imefika mwezi na ushee Sasa ukiuliza tatizo mtandandao kwani mimi nilikopa mtandao!? toeni mzigo huo au na nyie ni kausha damu muliochangamuka!? Pumbafu!!
Jina ulilotumia mpwa ndio ambalo halisomeki kwenye mtandao wao. Majina Kama Masawe Cristiano Ndalichako hayasomeki kule. Badili jina andika Muddy Pandu Makalo uone. Ndani ya masaa 24 compyuta zinatema cheche.
 
Ndio namshauri aende kuongea nao na kuwasumbua, ili ajue nini kinachelewesha kuweka mzigo.
Sisi pia tumekopa ktk hiyo bank na ilitubidi tuwakumbushe kwa kuongea nao mala kwa mala Hadi wakaweka mzigo
Maisha ni kuyapambania na sio kulalamika.
Rejea #5 huo ndio ukweli hawana hela
 
Jina ulilotumia mpwa ndio ambalo halisomeki kwenye mtandao wao. Majina Kama Masawe Cristiano Ndalichako hayasomeki kule. Badili jina andika Muddy Pandu Makalo uone. Ndani ya masaa 24 compyuta zinatema cheche.
Hawana hela mkuu niamini hata kobasi wengi wa bara nao wanalalamika wana mwezi hawajapewa pesa
 
Binafsi baada ya kuona mnajinadi nikajua mkombozi amepatikana dah!

Kumbe zilikuwa mbwembwe TU, Sasa yapata mwezi na kitu baada ya kufanya mchakato wa kuwakopa na nilikamilisha vigezo vyoote na wakaniambia ndani ya masaa 48 mzigo utakuwa umeiva

Hayo masaa 48 imefika mwezi na ushee Sasa ukiuliza tatizo mtandandao kwani mimi nilikopa mtandao!? toeni mzigo huo au na nyie ni kausha damu muliochangamuka!? Pumbafu!!
Hamna kitu hao urojo punzi imekata sepeni huko
 
Binafsi baada ya kuona mnajinadi nikajua mkombozi amepatikana dah!

Kumbe zilikuwa mbwembwe TU, Sasa yapata mwezi na kitu baada ya kufanya mchakato wa kuwakopa na nilikamilisha vigezo vyoote na wakaniambia ndani ya masaa 48 mzigo utakuwa umeiva

Hayo masaa 48 imefika mwezi na ushee Sasa ukiuliza tatizo mtandandao kwani mimi nilikopa mtandao!? toeni mzigo huo au na nyie ni kausha damu muliochangamuka!? Pumbafu!!
Moja ya benki ya kihuni hawana tofauti na platnumz au wale kausha damu,kama unajipenda usikope huko utajuta.
 
Moja ya benki ya kihuni hawana tofauti na platnumz au wale kausha damu,kama unajipenda usikope huko utajuta.
Walijua ni Zanzibar huku wanaokopa hawafiki hata 100 watu wamekausha mzigo woote wanasubiri mpaka watu walipe ndiyio wakopeshe wengine ni kikoba hiki kilichochangamka
 
Nenda Kaongee Nao.
PBZ Ni Banki Kongwe na haina shida katika swala Zima la Ukopeshaji.
Huenda Bado hujakidhi vigezo.
Kuja kuongea mtandaoni kutakufanya ukose sifa ya kukopesheka.
Hamna uwezo wa kukopeha watu mbwa nyie rudisheni kikoba chenu kizimkazi huko!
 
Nenda Kaongee Nao.
PBZ Ni Banki Kongwe na haina shida katika swala Zima la Ukopeshaji.
Huenda Bado hujakidhi vigezo.
Kuja kuongea mtandaoni kutakufanya ukose sifa ya kukopesheka.
Kwa vyovyote wewe ni muhusika acheni kucheza na maisha ya watu ngedere nyie
 
Back
Top Bottom