Wale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Mkuu, sidhani km kuna mtu anayeshangilia, Isipokuwa watu tunajiuliza kulikoni Hamza kuua Askari tu,na kuwaacha raia tu??.,Ndio maana tunapendekeza Uchunguzi huru, usioegemea upande wowote ule.Wale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Hakika huyu jamaa hawajui Askari kabisa.Wewe uliyeandika huu uzi umeshawahi ktk maisha yako kuingia kwenye mikono ya mandwata?
Kukuchekea kwenye selfie siyo utu kutana nao siku moja utarudi hapa kusimulia!!!
Umeona eenhh??!!!.So wameandika alichokisimulia yule maza aliyeenda baharini kujisaidia
Aiseee, mganga wa Jadi umeandika comment iliyonichekesha sana.
Hata jw wanapigikaWana kiburi wakiwa na zile SMG tu ila wakiwa mikono mitupu hawana jipya[emoji28] ni kisago tu mpaka wanaomba POO!
Jana limeonekana hilo wazi kuwa incase wananchi tukichafukwa tukakamata zile AK47 zao yani kuwapiga na kuzilokota ni ndani ya muda mchache watakuwa wamegaragazwa vibaya. Yani msaada pekee labda jwtz waingilie kati!
Sasa we kwa hatua aliyechukua HatA kama kadhulumiwa unaona sawa alivyofanya
Ova
Think about panic attack. And come back to tell the story.Yaani mtu una silaha, umejeruhiwa unakimbilia ufukweni, huo muda anamvua askari mwingine silaha we unakimbia, anakufuata ulipokimbilia anakufyatulia risasi, anachukua tena silaha yako.
Hii habari kama haijapikwa, basi kama ni kweli ni uzembe wa huyo askari aliyekimbia, wadau wanasema kaacha dona kizembe sana.
Hizo nguvu za kukimbia ni bora angejihami, mbinu bora ya kujilinda ni kushambulia any way RIP wazee, acheni tamaa.
Yaani akamatwe na madini fake bado awe na guts za kupambana na polisi π€? alafu polisi wanataifisha vipi kitu fake? acheni porojo aseeJuzi chanel ten imetangaza mfanya biashara aliekamatwa na madini feki .
Nadhani itakuwa niyo huto jamaa i asemekana waliyataifisha
Ukisoma jenga na picha kichwani...Think about panic attack. And come back to tell the story.
Tatizo lako ni biasness dhidi ya askari polisi wetu kama ilivyo kwa huyo muuaji (gaidi) ambaye alikuwa na bastola (sio manati). Aliipataje na kwa madhumuni gani? Hatujui.Huko ni kwa sababu silaha/bunduki ununuliwa kiurahisi hivyo raia wengi sana wanazimiliki... kwa uonevu wa maaskari wetu huku kama raia tungekuwa na hizo silaha hali ingekuwa mbaya zaidi ya hiyo marekani
Chama cha Mahamza π π πHata Hamza anazungumzwa vizuri na watu nae alikuwa kijana mtulivu na mnyenyekevu, kubwa zaidi alikuwa kada wa chama chetu