PC Emanuel Keralyo Waitara, mmoja wa askari aliyeuawa na Hamza

PC Emanuel Keralyo Waitara, mmoja wa askari aliyeuawa na Hamza

Mimi. AK47 sio pisto kijana wala sio baruti za mlipuko AK47 ni kitu kingine mzee unless useme hufahamu chochote
Mimi. AK47 sio pisto kijana wala sio baruti za mlipuko AK47 ni kitu kingine mzee unless useme hufahamu chochote

Pisto ni manati ? Unawezaje kutumia pisto bila kwenda mafunzoni ? Kama walimfundishia hiyo kwa rushwa ?
 
Halafu Kwanini asiende kuwashtaki kwenye vyombo vya haki kama hayo madai ni ya kweli?

Mimi siamini kama sababu ni hayo madai ya kudhurumiwa.

Ngoja tusubiri taarifa ya uchunguzi.

Case Ya ngedere unampelekea nyani , angeenda kushtaki wapi angepata haki? police wamemlusha huyo Hamza na pale sarender kwenye mikoko ndio Chaka Lao la kuchukua rushwa

possibly walimwambia wakutane pale wamalizane , police wakakimbia jamaa akadata
 
Case Ya ngedere unampelekea nyani , angeenda kushtaki wapi angepata haki? police wamemlusha huyo Hamza na pale sarender kwenye mikoko ndio Chaka Lao la kuchukua rushwa

possibly walimwambia wakutane pale wamalizane , police wakakimbia jamaa akadata


Kwa hiyo wewe unaona ni sawa uamuzi alochukua?
 
Anaandika Christopher Cyrilo.
___

PC Emanuel Keralyo Waitara. Amezaliwa 24/12/1991, Kabila Mkurya. Ni askari wa kikosi cha FFU aliyeuawa kwa kushambuliwa na Bw. Hamza kwa kushtukiza.

Kabla ya tukio hilo, Hamza alionekana maeneo ya ufukweni akiwa na mawazo sana. Hata watu waliomsalimia hakuwajibu, ni kama vile alikuwa kwenye dunia yake tofauti. Labda alishaona dunia si mahali salama tena kwake.

Punde, akatoka ufukweni na kurudi uelekeo wa barabara kuu ya Ali Hassan Mwinyi. Akafika kwenye kibanda cha polisi kilichokuwa pembeni ya barabara, akachomoa bastola yake ndogo kutoka kiunoni, akawapiga risasi askari wawili waliokuwemo. Askari mmoja alikufa papo hapo, mwingine alikimbia kuelekea baharini.

Hamza alimvua silaha askari aliyekufa na kuivaa shingoni. Kisha akamfuata askari aliyekimbilia baharini ambaye alikuwa ameishiwa nguvu kutokana na jeraha la risasi. Akampiga risasi nyingine kummalizia kisha akachukua bunduki yake. Hapo akawa na bunduki mbili alizopora baada ya kuwaua Polisi.

Hamza akarudi barabarani na kuanza kuwatafuta askari wengine ili awaue. Alifanikiwa kumuona askari wa barabarani (trafic), akiongoza magari eneo la makutano ya barabara karibu na ubalozi wa Ufaransa. Akamfyatulia risasi na kumuua. Akayapita magari binafsi na daladala za abiria akitafuta askari wengine.

Akamuona askari wa kampuni binafsi ya ulinzi ya SGA, wanaolinda ofisi za Ubalozi wa Ufaransa. Yule askari akataka kukoki silaha kupambana na Hamza lakini akachelewa. Hamza akamuwahi, akampiga risasi na kumuua. Kisha akasogea eneo la ubalozini kupambana na askari wengine waliokuwepo. Lakini polisi wengine wakawa wamefika na katikati ya mapambano wakamuua.

Moja kati ya askari waliouawa na Hamza ni PC Emanuel Keralyo (pichani). Anatajwa kuwa mtu mwema asiye na shida na mtu. Anazungumzwa vizuri na askari wenzie hadi na jamaa waliosoma na kukua nae. Kijana mtulivu, mwenye kumheshimu kila mtu.

Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani!


PIA SOMA:
- Kinondoni, Dar: Mtu asiyejulikana, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi
Apunzike kwa Amani.
 
Yaani Hawa ndugu zetu huwa wanawaza kutoboa maisha yao kwa kudhulumu,kuwalinda illegal dealers traders, drug dealers,yaani hela ya bure jamaa wanaipenda Sana.
Binafsi Kama mwanaume umeumia umepata chako afu msenge anakuja kukichukua k.v naye amehusika kukivujia jasho ni kufa naye.
Hawa jamaa na tra wanaudhi Sana.
Tra walimtoa mzee wangu since 1995 like 2+M mpaka Leo nakumbuka msala ule.
TRA imeanzishwa 1997!
 
Case Ya ngedere unampelekea nyani , angeenda kushtaki wapi angepata haki? police wamemlusha huyo Hamza na pale sarender kwenye mikoko ndio Chaka Lao la kuchukua rushwa

possibly walimwambia wakutane pale wamalizane , police wakakimbia jamaa akadata
Sasa we kwa hatua aliyechukua HatA kama kadhulumiwa unaona sawa alivyofanya

Ova
 
Husinipangie kila mtu ana Maono yake na maamuzi yake katika kuchambua mambo


Maono? Au maoni?

Unajua hayo ni mambo mawili tofauti?!

Halafu mbona hujajibu swali la msingi ?

Kila mtu ana maamuzi yake katika kuchambua mambo lakini hayo maamuzi yawe yenye maana na siyo kuonesha ujinga mtu alonao kichwani kwake!

Kupitia kuchangia mada mbali mbali ndio tunapima na kuona kiwango cha uelewa wa mtu katika mambo mbalimbali.

Imeandikwa: “ hata mpumbavu anyamazapo huhesabiwa hekima “
 
Anaandika Christopher Cyrilo.
___

PC Emanuel Keralyo Waitara. Amezaliwa 24/12/1991, Kabila Mkurya. Ni askari wa kikosi cha FFU aliyeuawa kwa kushambuliwa na Bw. Hamza kwa kushtukiza.

Kabla ya tukio hilo, Hamza alionekana maeneo ya ufukweni akiwa na mawazo sana. Hata watu waliomsalimia hakuwajibu, ni kama vile alikuwa kwenye dunia yake tofauti. Labda alishaona dunia si mahali salama tena kwake.

Punde, akatoka ufukweni na kurudi uelekeo wa barabara kuu ya Ali Hassan Mwinyi. Akafika kwenye kibanda cha polisi kilichokuwa pembeni ya barabara, akachomoa bastola yake ndogo kutoka kiunoni, akawapiga risasi askari wawili waliokuwemo. Askari mmoja alikufa papo hapo, mwingine alikimbia kuelekea baharini.

Hamza alimvua silaha askari aliyekufa na kuivaa shingoni. Kisha akamfuata askari aliyekimbilia baharini ambaye alikuwa ameishiwa nguvu kutokana na jeraha la risasi. Akampiga risasi nyingine kummalizia kisha akachukua bunduki yake. Hapo akawa na bunduki mbili alizopora baada ya kuwaua Polisi.

Hamza akarudi barabarani na kuanza kuwatafuta askari wengine ili awaue. Alifanikiwa kumuona askari wa barabarani (trafic), akiongoza magari eneo la makutano ya barabara karibu na ubalozi wa Ufaransa. Akamfyatulia risasi na kumuua. Akayapita magari binafsi na daladala za abiria akitafuta askari wengine.

Akamuona askari wa kampuni binafsi ya ulinzi ya SGA, wanaolinda ofisi za Ubalozi wa Ufaransa. Yule askari akataka kukoki silaha kupambana na Hamza lakini akachelewa. Hamza akamuwahi, akampiga risasi na kumuua. Kisha akasogea eneo la ubalozini kupambana na askari wengine waliokuwepo. Lakini polisi wengine wakawa wamefika na katikati ya mapambano wakamuua.

Moja kati ya askari waliouawa na Hamza ni PC Emanuel Keralyo (pichani). Anatajwa kuwa mtu mwema asiye na shida na mtu. Anazungumzwa vizuri na askari wenzie hadi na jamaa waliosoma na kukua nae. Kijana mtulivu, mwenye kumheshimu kila mtu.

Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani!


PIA SOMA:

- Kinondoni, Dar: Mtu asiyejulikana, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi
Askari wakiwa lindoni wawe lindoni kweli. Amani ya Tz inawafanya wajisahau mpaka wanavamiwa hawana habari!
 
Anaandika Christopher Cyrilo.
___

PC Emanuel Keralyo Waitara. Amezaliwa 24/12/1991, Kabila Mkurya. Ni askari wa kikosi cha FFU aliyeuawa kwa kushambuliwa na Bw. Hamza kwa kushtukiza.

Kabla ya tukio hilo, Hamza alionekana maeneo ya ufukweni akiwa na mawazo sana. Hata watu waliomsalimia hakuwajibu, ni kama vile alikuwa kwenye dunia yake tofauti. Labda alishaona dunia si mahali salama tena kwake.

Punde, akatoka ufukweni na kurudi uelekeo wa barabara kuu ya Ali Hassan Mwinyi. Akafika kwenye kibanda cha polisi kilichokuwa pembeni ya barabara, akachomoa bastola yake ndogo kutoka kiunoni, akawapiga risasi askari wawili waliokuwemo. Askari mmoja alikufa papo hapo, mwingine alikimbia kuelekea baharini.

Hamza alimvua silaha askari aliyekufa na kuivaa shingoni. Kisha akamfuata askari aliyekimbilia baharini ambaye alikuwa ameishiwa nguvu kutokana na jeraha la risasi. Akampiga risasi nyingine kummalizia kisha akachukua bunduki yake. Hapo akawa na bunduki mbili alizopora baada ya kuwaua Polisi.

Hamza akarudi barabarani na kuanza kuwatafuta askari wengine ili awaue. Alifanikiwa kumuona askari wa barabarani (trafic), akiongoza magari eneo la makutano ya barabara karibu na ubalozi wa Ufaransa. Akamfyatulia risasi na kumuua. Akayapita magari binafsi na daladala za abiria akitafuta askari wengine.

Akamuona askari wa kampuni binafsi ya ulinzi ya SGA, wanaolinda ofisi za Ubalozi wa Ufaransa. Yule askari akataka kukoki silaha kupambana na Hamza lakini akachelewa. Hamza akamuwahi, akampiga risasi na kumuua. Kisha akasogea eneo la ubalozini kupambana na askari wengine waliokuwepo. Lakini polisi wengine wakawa wamefika na katikati ya mapambano wakamuua.

Moja kati ya askari waliouawa na Hamza ni PC Emanuel Keralyo (pichani). Anatajwa kuwa mtu mwema asiye na shida na mtu. Anazungumzwa vizuri na askari wenzie hadi na jamaa waliosoma na kukua nae. Kijana mtulivu, mwenye kumheshimu kila mtu.

Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani!


PIA SOMA:

- Kinondoni, Dar: Mtu asiyejulikana, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi
Polisi acheni dhuluma! Watu wengi wana uchungu na nyinyi.
 
Yaani mtu una silaha, umejeruhiwa unakimbilia ufukweni, huo muda anamvua askari mwingine silaha we unakimbia, anakufuata ulipokimbilia anakufyatulia risasi, anachukua tena silaha yako.

Hii habari kama haijapikwa, basi kama ni kweli ni uzembe wa huyo askari aliyekimbia, wadau wanasema kaacha dona kizembe sana.

Hizo nguvu za kukimbia ni bora angejihami, mbinu bora ya kujilinda ni kushambulia any way RIP wazee, acheni tamaa.
Uandishi wa Tanzania unajukana. Ni wa kimawenge. Nchi haina tena waandishi wa habari. Hawa kina sijui Global, Ayo siyo waandishi. Huyo aliyekimbia kulingana na maelezo alikuwa ameshanyang'anywa silaha yake.
 
Sio kweli TRA imeanzishwa 1995, na ikaanza majukumu yake 1996.
Mie kabla ya hapo sijui kulikuwa na Nini Ila nakumbuka Kati ya 95/96 jamaa walinmtoa 2M.alikuwa akitumiwa barua pale bomani mtu mmoja wa mapato anazificha baadaye akaandika kuwa amekaidi so timu kubwa ikaja.
Mfano tra ama mtumishi wa serikali Kama dc director,das,Ras and rc huwa wanaumia Sana kuona mtu STD 3 aliachana na shule Ila Ana mawe kuliko wao.so wanajiona wakubwa jina na heshima now days ni pesa.
Wanabaki kwenda Kama kumuomba hela sijui kusaidia Nini wilayani kwao.
Mara hela za mwenge ama madawati afu wanafosi Hawa wangese.
Ni Nani aliyekuambia kuwa kusoma ama cheo ndio kinakupa helaa.
Kusoma kitakupatia a living na cheo kitakupa tittle tu ya ukubwa Ila waweza kuwa unazidiwa hela na chinga tu.

Yaani wewe mpaka uibe Mara mradi umepata unamtoa upepo mkandarasi anajenga kulingana na hela aliyobaki nayo.
 
Back
Top Bottom