Hii wana jf,ni kijana wa kiume amemaliza form 4 mwaka jana na kapata division 2 ya pointi 20,anapenda kusoma PCB na ameifaulu vizuri kwa phy-c,chem-c na bio-b.SAsa anaomba ushauri jinsi ya kujianda kabla ya kuingia shuleni hiyo mwezi wa saba na usomaji wa pcb kwa ujumla hata atakapokuwa shuleni.msaada jamani