Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,472
JAMANI, nimesikia kwenye magazeti kuwa Dr. Hosea ametoa pendekezo kuwa, PCCB waundiwe mahakama yao binafsi, itakayo dili na kushitaki wala rushwa tu. niliona kama hilo ni pendekezo zuri, lakini, why only rushwa? na je? mahakama za tz hizi za kawaida zimeshindwa? hadi waundiwe wao mahakama yao special? na je?, kama corruption in general kama one of the organised crimes, je, ikiundwa mahakama ya rushwa, makosa mengine ya organised yapelekwe wapi:
makosa hayo ambayo yanaendana na corruption ni kama money laundering (usafishaji wa pesa), terrorism, piracy, human trafficking and smuggling and all other sorts of mafia dealings.....
PENDEKEZO LANGU NI KWAMBA, PCCB hadi sasa hawajaonyesha uwezo wowote ule wa manpower au hata experience kuwa na mahakama yao binafsi, na sio special sana wao kuwa na mahakama ya rushwa tu tukaacha izo organised crimes zingine. NAPENDEKEZA KAMA KUNA MAHAKAMA NYINGINE MPYA INAYOUNDWA BASI IUNDWE MAHAKAMA INAYOSHUGHULIKIA ORGANISED CRIMES TU, makosa yafuatayo:
tatizo lililopo ni kwamba, ili kesi yeyote ile ya PCCB iendelee, ni lazima wapate consent ya DPP, ndio maana wakichunguza kesi, wanapeleka jalada kwa DPP, anasoma halafu anawapa kibali cha kuendelea. why hadi kibali cha DPP? kwasababu PCCB sio state attorneys (mawakili wa selikali wanaosimama badala ya serikali) ila ni ordinary persons ambao wanatumia mgongo/kibali cha DPP ambaye ni wakili wa serikali kushitaki baadhi tu ya makosa yaliyoko kwenye sheria yao tu na si kwenye sheria zingine.
Tatu, inasemekana hata uwezo au experience ya kuendesha mashitaka ni ndogo kwao, kesi ngapi wameshinda hadi sasaivi? na zaidi ya yote, hata zile za epa pale kisutu, wanawategemea state attorneys toka kwa DPP ambao wameacha majalada yao ya kawaida wakaja kuwapiga tafu pccb ili kuendesha kesi za pccb. AMINI USIAMINI, WAKILI YEYOTE WA KUJITEGEMEA KATIKA MAHAKAMA YEYOTE AKIONA PROSECUTOR NI PCCB HUWA ANASHANGILIA AJABU kwasababu anajua anaenda kushinda kesi.
siongei kuwaponda, lakini naomba serikali ijaribu kufikiria hili, either to empower pccb kiuwezo wa kuendesha kesi, na kama wanaunda mahakama yao basi, ibadilishwe sheria ili kesi watakazoendesha zisiwe zina stick kwenye sheria yao ya 2007 tu, bali hata sheria zingine na mahakama hiyo isiwe special only for corruption, but also for money laundering, and other trans national or national organised crimes.....I hope nitasomeka kama sitapigwa mawe hapa.
makosa hayo ambayo yanaendana na corruption ni kama money laundering (usafishaji wa pesa), terrorism, piracy, human trafficking and smuggling and all other sorts of mafia dealings.....
PENDEKEZO LANGU NI KWAMBA, PCCB hadi sasa hawajaonyesha uwezo wowote ule wa manpower au hata experience kuwa na mahakama yao binafsi, na sio special sana wao kuwa na mahakama ya rushwa tu tukaacha izo organised crimes zingine. NAPENDEKEZA KAMA KUNA MAHAKAMA NYINGINE MPYA INAYOUNDWA BASI IUNDWE MAHAKAMA INAYOSHUGHULIKIA ORGANISED CRIMES TU, makosa yafuatayo:
- corruption
- money laundering
- human trafficking and smaggling
- terrorism
- piracy etc
tatizo lililopo ni kwamba, ili kesi yeyote ile ya PCCB iendelee, ni lazima wapate consent ya DPP, ndio maana wakichunguza kesi, wanapeleka jalada kwa DPP, anasoma halafu anawapa kibali cha kuendelea. why hadi kibali cha DPP? kwasababu PCCB sio state attorneys (mawakili wa selikali wanaosimama badala ya serikali) ila ni ordinary persons ambao wanatumia mgongo/kibali cha DPP ambaye ni wakili wa serikali kushitaki baadhi tu ya makosa yaliyoko kwenye sheria yao tu na si kwenye sheria zingine.
Tatu, inasemekana hata uwezo au experience ya kuendesha mashitaka ni ndogo kwao, kesi ngapi wameshinda hadi sasaivi? na zaidi ya yote, hata zile za epa pale kisutu, wanawategemea state attorneys toka kwa DPP ambao wameacha majalada yao ya kawaida wakaja kuwapiga tafu pccb ili kuendesha kesi za pccb. AMINI USIAMINI, WAKILI YEYOTE WA KUJITEGEMEA KATIKA MAHAKAMA YEYOTE AKIONA PROSECUTOR NI PCCB HUWA ANASHANGILIA AJABU kwasababu anajua anaenda kushinda kesi.
siongei kuwaponda, lakini naomba serikali ijaribu kufikiria hili, either to empower pccb kiuwezo wa kuendesha kesi, na kama wanaunda mahakama yao basi, ibadilishwe sheria ili kesi watakazoendesha zisiwe zina stick kwenye sheria yao ya 2007 tu, bali hata sheria zingine na mahakama hiyo isiwe special only for corruption, but also for money laundering, and other trans national or national organised crimes.....I hope nitasomeka kama sitapigwa mawe hapa.