Kissy methord
Member
- Jun 27, 2013
- 38
- 3
.......sure man,,,u r right!ndio maana uganda watu wanasoma PCBM.
ukitoka hapo kila kitu unakiweza.
ila mzee nenda kasome engineering tu utapata dili nyingi tu!!
medicine ya tz ni uhuni mtupu. kutiana stress tu na maisha magumu.
unless uwe unapenda zile sifa tu za kwamba huyu dr bwana'!!!
aafu wanakuconsult bila hata malipo wanaishia zao.
Acha utan basi comb yeyote kozi yoyote basi hakuna haja ya kua na advance kijana unazan kila kozi kila mtu anaweza kusoma??kila mtu anafanya anachoweza kama unapenda biashara soma masomo ya biashara. Sio usome biashara advance af udai kusoma medicine chuo
Haiwezekani
Labda utumie matokeo ya O Level ukaanze na Clinical Officer then utakuwa unapanda taratibu hadi hiyo MD
Ukitaka Medicine directly nenda PCB
ndio maana uganda watu wanasoma PCBM.
ukitoka hapo kila kitu unakiweza.
ila mzee nenda kasome engineering tu utapata dili nyingi tu!!
medicine ya tz ni uhuni mtupu. kutiana stress tu na maisha magumu.
unless uwe unapenda zile sifa tu za kwamba ‘huyu dr bwana'!!!
aafu wanakuconsult bila hata malipo wanaishia zao.