Kissy methord
Member
- Jun 27, 2013
- 38
- 3
Natumaini mko poa.
Nlikuwa naomba kujua kama kuna uwezekano wa mtu anaesoma soma combi ya PCM kupata kozi ya medicine..
Kama inawezekana ni vyuo vipi vinavyohusika???kwa hapa Tanzania.
Thanx!
Stay blessed
Nlikuwa naomba kujua kama kuna uwezekano wa mtu anaesoma soma combi ya PCM kupata kozi ya medicine..
Kama inawezekana ni vyuo vipi vinavyohusika???kwa hapa Tanzania.
Thanx!
Stay blessed