Ni muhimu kufahamu maana wengine wana promote hivi unafanya nao biashara mzigo ukifika unashangaa kuna utitiri wa kodi zingine za ziada unatakiwa kulipia... ambazo hukuambiwa mapema...Hata kama mmeweka faida, bado bei zenu ni rafiki mno. Of course lengo la biashara yeyote ile ni kupata faida.
Pili, kuna swali ameuliza mhenga mwenzangu Smart911 kwamba hizo gharama mtu akilipa ndio anasubiria akabidhiwe funguo na mchuma aondoke nao ukiwa full masinonda?
Mwisho, IST Urban Cruiser inaweza kupatikana kwa kiasi gani? Gharama zote hadi nakabidhiwa.
Ni muhimu kufahamu maana wengine wana promote hivi unafanya nao biashara mzigo ukifika unashangaa kuna utitiri wa kodi zingine za ziada unatakiwa kulipia... ambazo hukuambiwa mapema...
Huna unachojua apa kaweka makadilio tu ila inategemea na mwaka wa gar inaweza panda ama shuka...Kaweka na faida kubwa ukienda beforward unapata chini ya hapo
Kwa taarifa yako ilibidi aweke price range maana unaweza kununua gari ya mwaka mmoja lakini bei zikapishana hata milioni 3 kwa tofauti ya kilomita ilizotembea au accessories zilizofungwa. Pia kuna gari inaweza ikawa ilipata hitilafu ikauzwa bei ya chini kuliko nyingineHuna unachojua apa kaweka makadilio tu ila inategemea na mwaka wa gar inaweza panda ama shuka...
Kwa taarifa yako ilibidi aweke price range maana unaweza kununua gari ya mwaka mmoja lakini bei zikapishana hata milioni 3 kwa tofauti ya kilomita ilizotembea au accessories zilizofungwa. Pia kuna gari inaweza ikawa ilipata hitilafu ikauzwa bei ya chini kuliko nyingine
Mfano unasema IST old milioni 13, vipi kama imetembea kilomita 20,000 itauzwa bei hiyo?
Unasema sina nachojua, umejuaje kama sijui? kwa kuweka fixed price kwa gari za aina fulani ambazo ni used ni very poor marketing strategy. Zingekuwa ni brand new sawa. Najua kwa elimu yako ndogo huwezi kunielewa ila nakupa tu mfano tembelea site zote duniani za vitu used uone kama bei yake ni moja. Anza na makampuni makubwa ya magri used uone jinsi bei zinavyotofautiana utaelewa nachosema
Kwa jinsi tu bei zilivyowekwa mtoa mada inaonekana ana mtaji ila hana shule au kama shule ipo basi anataka kuwapiga watu
Hamkeni watanzania ukosefu wa elimu unatugharimu sana
hapo tulijikita zaidi kwa models zinazoagizwa zaidi na Watanzania wengi mfano IST old tunamaanisha ya mwaka 2002 mpaka 2005, BMW X3 twamaanisha ya 2003 mpaka 2007, Volvo XC 90 twamaanisha ya 2003 mpaka 2007. Tukisema Passo twamaanisha ya 2004 mpaka 2007 n.k
Talking out of ignorance en envy.....!!!!!Kwa taarifa yako ilibidi aweke price range maana unaweza kununua gari ya mwaka mmoja lakini bei zikapishana hata milioni 3 kwa tofauti ya kilomita ilizotembea au accessories zilizofungwa. Pia kuna gari inaweza ikawa ilipata hitilafu ikauzwa bei ya chini kuliko nyingine
Mfano unasema IST old milioni 13, vipi kama imetembea kilomita 20,000 itauzwa bei hiyo?
Unasema sina nachojua, umejuaje kama sijui? kwa kuweka fixed price kwa gari za aina fulani ambazo ni used ni very poor marketing strategy. Zingekuwa ni brand new sawa. Najua kwa elimu yako ndogo huwezi kunielewa ila nakupa tu mfano tembelea site zote duniani za vitu used uone kama bei yake ni moja. Anza na makampuni makubwa ya magri used uone jinsi bei zinavyotofautiana utaelewa nachosema
Kwa jinsi tu bei zilivyowekwa mtoa mada inaonekana ana mtaji ila hana shule au kama shule ipo basi anataka kuwapiga watu
Hamkeni watanzania ukosefu wa elimu unatugharimu sana
Befoward siku hizi bei zao zimechangamka kiasi.Kaweka na faida kubwa ukienda beforward unapata chini ya hapo
Brother Mimi nimekuelewa,Kwa taarifa yako ilibidi aweke price range maana unaweza kununua gari ya mwaka mmoja lakini bei zikapishana hata milioni 3 kwa tofauti ya kilomita ilizotembea au accessories zilizofungwa. Pia kuna gari inaweza ikawa ilipata hitilafu ikauzwa bei ya chini kuliko nyingine
Mfano unasema IST old milioni 13, vipi kama imetembea kilomita 20,000 itauzwa bei hiyo?
Unasema sina nachojua, umejuaje kama sijui? kwa kuweka fixed price kwa gari za aina fulani ambazo ni used ni very poor marketing strategy. Zingekuwa ni brand new sawa. Najua kwa elimu yako ndogo huwezi kunielewa ila nakupa tu mfano tembelea site zote duniani za vitu used uone kama bei yake ni moja. Anza na makampuni makubwa ya magri used uone jinsi bei zinavyotofautiana utaelewa nachosema
Kwa jinsi tu bei zilivyowekwa mtoa mada inaonekana ana mtaji ila hana shule au kama shule ipo basi anataka kuwapiga watu
Hamkeni watanzania ukosefu wa elimu unatugharimu sana
Mkuu nini maana ya Subaru forester new?Ni mpya?zinaanzia 20m boss
Service je?Utaendesha bila kufanya service?Umeuliza swali la msingi sana, jamaa ameshasema hapo ni gharama za uwakala, ushuru wote, bandari, uchakavu, usajili, documentation hadi namba ya gari. Hapo ukishaichukua unaingia peterol station unpiga full tank kwanza kusuuza tank...
Sidhani kama mfanyabiashara anaweza fanya kitu kama hicho. Anyway nilipose hiyo challenge ili tufungue mjadala. Humu JF tunajifunza ingawa mtu uki-challenge unaonekana kama unamharibia biashara lakini lazima tufundishane ili twende sawa na dunia ilipo.Brother Mimi nimekuelewa,
Ila nilichowaza bei ikitofautiana inakula kwenye profit yake. Yaan yeye ana maintain sales price yake (constant) ila profit yake ndio inabadilika.
Yaan mfano Kama gari ya 13mil ye anapata profit ya 1.5mil (total cost kwake 11.5mil) Basi ikitokea gharama zikazid kwake mpaka labda 12.5mil basi atakula only laki 5 profit.
Na ikitokea ameipata kwa pungufu labda imemgharimu total 10mil bas atapiga profit ya 3mil.
Hizi garama ni mpaka nakabidhiwa funguo au CIF tukila la kheri boss. sisi sio mawakala wa BF pekee, tunashirikia na kampuni zaidi ya 12 zenye bei nafuu na magari yenye hali nzuri zaidi...tunachopata ni discount ambayo hii hua kama gharama za ofisi kwa sisi kubeba dhamana ya pesa yako. hesabu zote zafanyika wazi
Service je?Utaendesha bila kufanya service?
Nia yangu nilitaka kujua kama kwa mfano nimetoka kupokea gari kutoka beforward au kwa hawa jamaa, hiyo gari huwa inahitaji kufanyiwa service kabla ya kuendeshwa?Tunaongelea umetoka kuchukua mchuma kwa muuzaji mwamba.
Hayo ya service si ukishaachana na muuzaji? Kwani hata kama unataka kufanya service hauruhusiwi kupiga full tank?
Service lazima uwe umeshaiendesha gari kidogo ujue na matatizo mengine ili ukienda service inaangaliwa vitu vyote kwa ujumla wake.
Ahsante
Nia yangu nilitaka kujua kama kwa mfano nimetoka kupokea gari kutoka beforward au kwa hawa jamaa, hiyo gari huwa inahitaji kufanyiwa service kabla ya kuendeshwa?