Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Jamaa kanikomaliamimi ni pdiddy hahaahaaa
Unaona sentensi hiyo?
Eti "kanikomaliamimi".........Eti mimi sio Pdiddy!
GTFOH!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kanikomaliamimi ni pdiddy hahaahaaa
Don judge a book by its cover....hivi we unadhani pdidy mwenyewe hajui kuandika? Kila mtu ana style yakeUnaona sentensi hiyo?
Eti "kanikomaliamimi".........Eti mimi sio Pdiddy!
GTFOH!
Don judge a book by its cover....hivi we unadhani pdidy mwenyewe hajui kuandika? Kila mtu ana style yake
WrongHajui kuandika.....thats well known!
Hey, winlicous=Pdidy!
Ukiambiwa Pdidy ni boss mahali unakataa.Hahaaaa winlicious
nipo banaaa nashukurusanaa kwa kunikumbuka ni neema ya mungu nilipata kaneema kadogo cha kuniweka busy .....kwa muda ...za uzimaa ntakuwa nanyi wakati wote ntakapokuwa huru .....kama mnavyojua na huyu mh hapa kazi tu inabidi tuanze kuamka saa kumiusiku ,,kuwaza kama bundle imeisha ujue saa nane mchana .....
Niliwamiss sana vipi nyereree yupo??