mahroof
Member
- Jul 9, 2015
- 50
- 63
Mimi ni mhitim wa kidato cha sita mwaka huu mchepuo hge na nimefaulu vizuli.
tatizo
Mtihan wa formfour nilifanya malambili yani nili reseat kuongezea credit jana katika kujaza chuo nilipo fikia sehem ya kuingiza namba ya formfour ilinibidi niingize marambili marayakwanza ilikuwa ni namba ya formfour kabla ya kureseat na mara ya pili ilikuwa ni baada ya kureseat but cha ajabu baada tuu ya kuingiza ile ya pili iligoma na kuniletea kuwa majina hayaendani.jina ka kwanza limeandikwa vizuri lakini jina la ili linaloma kati ya first name na sir mame.
Msaada kwa anajua hili.wapi nianzie kulishughulikia hili ili mwaka huu nisikose chuo.
tatizo
Mtihan wa formfour nilifanya malambili yani nili reseat kuongezea credit jana katika kujaza chuo nilipo fikia sehem ya kuingiza namba ya formfour ilinibidi niingize marambili marayakwanza ilikuwa ni namba ya formfour kabla ya kureseat na mara ya pili ilikuwa ni baada ya kureseat but cha ajabu baada tuu ya kuingiza ile ya pili iligoma na kuniletea kuwa majina hayaendani.jina ka kwanza limeandikwa vizuri lakini jina la ili linaloma kati ya first name na sir mame.
Msaada kwa anajua hili.wapi nianzie kulishughulikia hili ili mwaka huu nisikose chuo.