Pele aibuka tena na kumchana PAULO DYABALA

Pele aibuka tena na kumchana PAULO DYABALA

Dybala noma hata pelle hafiki

Mkuu wivu ni mbaya sana. Huyu pele anachokifanya kwa Waargentina anazani atapewa sifa.hajui anajidhalilisha tu.

Kwanza anajuwa kabissa kuwa KING DIEGO ni zaidi yake yeye,,na KING MESSI ni zaidi yake.sasa roho inazidi kuumia na kupelekea anaanza kulopoka tu na kuwakandia wachezaji wa kiargentina like DYABALA n.k
 
Kadri miaka inavyozidi kusonga watu tunaanza kumsahau Pele kwahy ni haki yake kutafuta Kik kwa nyota wadogo wadogo wanaokuja kufunika jina lake zaidi.
 
Alichosema babu ni kweli kabisa dogo alikuwa na potential Ila kiwango chake kimegota ameshindwa kukua zaidi kimpira...

Naona itakuwa alilewa sifa wenzake aliokuwa nao wameshamuacha mbali
1. Neymar
2. Isco
3. Lukaku
4. Coutinho
Wote hawa wamemuacha. Dogo hataweza kuvaa viatu vya football genious Leo messi GOAT they are too big for him
 
Ni namna yake ya kuwafanya vijana wadogo wenye vipaji wapate hasira zaidi za kumprove wrong.In so doing they become the best just like he wishes them to be.Kila mtu anajua kuwa watu ambao Pele huwa anawapiga madongo ni wale wenye vipaji haswa.Mi naona anawapenda na hataki walewe sifa za kila mtu.Hiyo ni namna yake yakuwaboost zaidi
 
Kuna mtu ambae hamjui Pele!?

Pele anaamini vipaji vya mpira vipo Brazil tu na sio mahala kwingine duniani.

Pele anaamini katika dunia hii hakuna mchezaji bora zaidi ya neymar na ukitaka Pele akununulie whisky basi msifie neymar mbele yake.
 
Kuna mtu ambae hamjui Pele!?

Pele anaamini vipaji vya mpira vipo Brazil tu na sio mahala kwingine duniani.

Pele anaamini katika dunia hii hakuna mchezaji bora zaidi ya neymar na ukitaka Pele akununulie whisky basi msifie neymar mbele yake.

😀😀😀
 
Yaan saa nyingine huwa nawaza kwamba hawa waotoa maoni hapa wako na level gani ya uelewa?

Nadhani wengi ni hawa wanaocheza PS wakadhani hapo wameujua mpira,
Dyabala ni mzuri lakin wa kulinganishwa na Kina Pogba na Hazad, siyo Maradona, Au Messi, huu ni ufinyu wa fikra, sasa mwaka ushapita tokea ametoa maoni Pele, nani anampinga tena?

Nashangaa umlinganishe Dyabala na Messi? Huo ni utovu wa Nidhamu, kwa taarifa bAdo hajamfikia hata Coutinho, au Suarez
 
Ukiniuliza kati ya Dyabala na Neymar leo hii nani anapiga mpira haswa nitakujibu ni Dyabala, ila kwenye sequence ya wacheza mpira bora sasa duniani kwangu mimi wa Kwanza ni Messi, wa pili Hazard, watatu ni kati ya Mbappe na Dyabala
 
Hee wee mkaka ona aibu,huyu diego anaempondea Messi kila kukicha aiseee.
Nasemaga siku zote. wafalme wa soka duniani ni wawili 2.

Messi na Diego full stop

Sijawai kumckia mhuni Diego akiwaponda wachezaji awe mbrazili au mchezaji yoyote anayetoka taifa lingine. Na ndiomana Argentina imebarikiwa kwa wachezaji wazuri duniani. Yeye akae na wivu wake lakini haitomusaidia chochote.
 
Ukiniuliza kati ya Dyabala na Neymar leo hii nani anapiga mpira haswa nitakujibu ni Dyabala, ila kwenye sequence ya wacheza mpira bora sasa duniani kwangu mimi wa Kwanza ni Messi, wa pili Hazard, watatu ni kati ya Mbappe na Dyabala

Sawa, Kwangu mimi baada ya King Messi anafuatia Dybala kwa mbali then Hazard
 
Back
Top Bottom