Peleka mshahara wako wa Kwanza kwa Baba yako sio mchungaji wako ubebe bataka zako

Peleka mshahara wako wa Kwanza kwa Baba yako sio mchungaji wako ubebe bataka zako

Mshahara unabidi kuupigia hesabu kwa ajili ya natumizi yako na ikibaki ziada waweza kusaidia ndugu ,wazazi na familia.
 
Mchungaji ana asilimia ngapi Kwenye maishà yangu mpk apate Hela yangu labdaaa ..embu apite hv na uchungaji wake ambao hata mm nikiutaka naupata tu .
 
Bataka tena aya si mshahara wa kwanza ni kwenda kuagiza kitimoto kilo na faru john then kiasi dingi kiasi mama kiasi random people wenye uhitaji
 
Back
Top Bottom