O OgaBoy JF-Expert Member Joined Aug 22, 2022 Posts 1,531 Reaction score 2,140 May 22, 2024 #1 View: https://www.instagram.com/reel/C6wky19Nd4U/?igsh=MXg1dDR5bWhzNno5bg==
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,301 Reaction score 13,858 May 22, 2024 #2 Kuna kenge hufanya hivyo?...
miviga JF-Expert Member Joined Jan 27, 2024 Posts 1,721 Reaction score 6,037 May 22, 2024 #3 Pastor anaongea na Mungu moja kwa moja.
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 May 22, 2024 #4 Mshahara unabidi kuupigia hesabu kwa ajili ya natumizi yako na ikibaki ziada waweza kusaidia ndugu ,wazazi na familia.
Mshahara unabidi kuupigia hesabu kwa ajili ya natumizi yako na ikibaki ziada waweza kusaidia ndugu ,wazazi na familia.
edon66 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 2,907 Reaction score 9,135 May 22, 2024 #5 Mchungaji ana asilimia ngapi Kwenye maishà yangu mpk apate Hela yangu labdaaa ..embu apite hv na uchungaji wake ambao hata mm nikiutaka naupata tu .
Mchungaji ana asilimia ngapi Kwenye maishà yangu mpk apate Hela yangu labdaaa ..embu apite hv na uchungaji wake ambao hata mm nikiutaka naupata tu .
heartbeats JF-Expert Member Joined Feb 10, 2014 Posts 6,736 Reaction score 10,669 May 22, 2024 #6 Bataka tena aya si mshahara wa kwanza ni kwenda kuagiza kitimoto kilo na faru john then kiasi dingi kiasi mama kiasi random people wenye uhitaji
Bataka tena aya si mshahara wa kwanza ni kwenda kuagiza kitimoto kilo na faru john then kiasi dingi kiasi mama kiasi random people wenye uhitaji