Kama una kijana amemaliza form 4 na ana matokeo mazuri mpeleke akasome CERTIFICATE ya course anayopenda baadae mpeleke Diploma.
Akipata kazi yake au issue zake asome degree akiwa kazini au kwenye shuguli zake. Utanishukuru baadae. Hii inasaidia kuokoa muda na possibility ya kufeli form six ni kubwa sana.
Form Six haina deal katika maisha sasa.
Ushauri tu.
Akipata kazi yake au issue zake asome degree akiwa kazini au kwenye shuguli zake. Utanishukuru baadae. Hii inasaidia kuokoa muda na possibility ya kufeli form six ni kubwa sana.
Form Six haina deal katika maisha sasa.
Ushauri tu.