Pemba kikombe cha Babu limerudiwa tena

Pemba kikombe cha Babu limerudiwa tena

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Haya ndugu zangu

Tayari kuna mwananchi amegundua maji mabaridi/matamu fukwe ya pwani ya Konde visiwani Pemba.

Jamaa anasema yeye pamoja na familia yake wote walikuwa wanaumwa baadaye walipokunywa maji waliweza kupona wote na hata baada ya kuaambia majirani mwanzo walipuuza ila nao,wakayatumia wakapona.

Hivi navyosema kuna foleni kubwa sana,na serikali ishafika kuchukua sampuli ya maji kwa ajili ya kuyapima.

Wenye kuhisi tatizo la nguvu kiume mnakaribishwa.
 
FB_IMG_16801691904123774.jpg
 
Haya ndugu zangu

Tayari kuna mwananchi amegundua maji mabaridi/matamu fukwe ya pwani ya Konde visiwani Pemba.

Jamaa anasema yeye pamoja na familia yake wote walikuwa wanaumwa baadaye walipokunywa maji waliweza kupona wote na hata baada ya kuaambia majirani mwanzo walipuuza ila nao,wakayatumia wakapona.


Hivi navyosema kuna foleni kubwa sana,na serikali ishafika kuchukua sampuli ya maji kwa ajili ya kuyapima.

Wenye kuhisi tatizo la nguvu kiume mnakaribishwa.
Wànataka kutoa kwenye hoja za ufisadi wa kutisha kwenye taasisi za serikali

USSR hapa wamefanikiwa kutuondoa kwenye ishu za CAG NA TAKUKURU
 
Back
Top Bottom