Kwani forex ni utapeli?Wajinga wakiisha Manabii wa uwongo, akina Controller watakula wapi na forex inawaweka mjini Mzee Baba? [emoji1]
Haya mambo ndio yanafanya Tanzania iwe kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina zaidi duniani.
Acha kumfananisha Nyerere na mambo ya ajabuNi Nyerere ndiye chanzo cha haya yote ya ushirikina.
Acha kumfananisha Nyerere na mambo ya ajabu