Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni katika Viwanja vya Tibirinzi, viwanja mpaka muda huu vimetapika, hizi ni picha za awali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti tutatumia njia gani. Tunaye 'Jecha' mwinginr, tena mkali kuzidi yule wa 2015. Mmedahau Bi Asha Bakari alivyowambia? Alisema hivi: Zanzibar ni nchi ya mapinduzi. Haikupatikana kwa vikaratasi. Na hatuikabidhi kwa kupitia karatasi. Lands watupindue.Chama cha ulaghai CCM mwaka huu sijui watatumia njia gani kumdhulumu Seif?
Ngoja tuone!
Hapa makambako kwa Tundu Lisu tuko watu wachache sana!
Hao hao wanaCCM huko nyuma walidai Rais wa ZNZ hawezi kutoka Pemba .... Dodoma walipoamua Sein akawa Rais!!Eti tutatumia njia gani. Tunaye 'Jecha' mwinginr, tena mkali kuzidi yule wa 2015. Mmedahau Bi Asha Bakari alivyowambia? Alisema hivi: Zanzibar ni nchi ya mapinduzi. Haikupatikana kwa vikaratasi. Na hatuikabidhi kwa kupitia karatasi. Lands watupindue.
Chief acha kumtaja shangazi yangu alishafariki tangu January 2016 mwache apumzike kwa amani huko aliko!!Eti tutatumia njia gani. Tunaye 'Jecha' mwinginr, tena mkali kuzidi yule wa 2015. Mmedahau Bi Asha Bakari alivyowambia? Alisema hivi: Zanzibar ni nchi ya mapinduzi. Haikupatikana kwa vikaratasi. Na hatuikabidhi kwa kupitia karatasi. Lands watupindue.
CCM bye!Ni katika viwanja vya Tibirinzi , viwanja mpaka muda huu vimetapika , hizi ni picha za awali
Hakuna mnafiki anayeweza kupumzika kwa amaniChief acha kumtaja shangazi yangu alishafariki tangu January 2016 mwache apumzike kwa amani huko aliko!!
R.I.P Asha Bakari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mwacheni hivyo hivyo na unafiki wake!!Hakuna mnafiki anayeweza kupumzika kwa amani
Leave oneself alone. The self is confused. Maada yetu hapa ni Pemba yeye anarukia Makambako. Tumuambie maana ya neno "makambako": Ni madume ya ng'ombe yenye "silaha" kali.watu wachache unashindwa kupiga picha CCM vipi ndugu
haya