Pemba: Mwenyekiti mpya ACT Wazalendo apokewa rasmi leo

Pemba: Mwenyekiti mpya ACT Wazalendo apokewa rasmi leo

5525

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
5,412
Reaction score
6,279
E7CA3F7D-FDD1-4154-9670-7CB8EDD06496.jpeg

Ndio habari ya mjini kwa sasa mrithi wa gwiji la siasa za Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad sasa ni Juma Duni Haji ambaye anavaa rasmi viatu vyake

Wanampokea kule kisiwani Pemba na uongozi wa juu kabisa Ndugu Zitto Kabwe
 
Lissu kamuuza nani vile? Mbowe.! au hajamuuza.!? basi samaani
 
Duni ni duni km lilivyo jina lake! Zitto ameona aeke bua ili ampeleke anavyotaka.
 
View attachment 2116963
Ndio habari ya mjini kwa sasa mrithi wa gwiji la siasa za Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad sasa ni Juma Duni Haji ambaye anavaa rasmi viatu vyake

Wanampokea kule kisiwani Pemba na uongozi wa juu kabisa Ndugu Zitto Kabwe
Vilaza hawa, wamekosea hata kujipanga! Katibu mkuu alipaswa kuwa pembeni mwa Mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom