Pemba yavamiwa, Wapemba wasema amani itavunjika na wapo tayari!

Pemba yavamiwa, Wapemba wasema amani itavunjika na wapo tayari!

Kwa Pemba hakuna dogo! Ingekuwa kama Rorya ambapo Pinda alipropose kupeleka jeshi, ingekuwaje?

SIo hakuna dogo ,yaliotokea Pemba ni mambo ambayo yamewacha historia ,huko Tarime na Rorya ni wananchi against wananchi ,ndiko kunakofaa kupelekwa jeshi ,polisi au FFU lakini sio Pemba ,vyombo hivyo vikipekwa huko Pemba kwa wingi huo vinahesabika vinakwenda kufanya machafu ,kuwadhalilisha watu, inaeleweka CCM walijitangazia ushindi sasa ilikuwaje kuwaje watu kuuliwa na kuingiliwa majumbani ? Kufikia vyombo hivi kufanya machafu katika sehemu moja ya nchi yao ujue kuwa sehemu hiyo automatic itajihesabu sio sehemu ya Nchi na kwa hivyo Pemba wamejihesabu kuwa wao si WaTanzania na sababu hiyo ndio moja kati ya sababu zinazopelekea wao kuwa na madai UN.

Hapa nataka upime sana usiwe mbishi wala usiwe na jazba kwa kuwa wewe tu ni mpenzi wa CCM au ni Mtanganyika , chukulia linatoka jeshi na mapolisi wanavamia Kigoma na kutenda udhalilishaji wa kuingilia mwanafamilia mbele ya familia ,mke mbele ya mumewe na watoto wake ,wanapiga wanalawiti na kufanya kila ovu unalolijua wewe(Pemba yamefanywa hayo na hao mnaowaita waliokwenda kwenye au waliomo ndani ya nchi yao).

Sasa wamefanya uasherati huo hapa Kigoma ,hivi wananchi wa Kigoma watahisi vipi ? Polisi na majeshi wamekwenda kufanya unyama ndani ya nchi yao tena baada ya Chama wanachokiunga mkono kujitangazia ushindi ? Chombo cha dola kinafanya mambo ya udhalilishaji ndani ya nchi inayojitawala tena kidemokrasia halafu Raisi wa Nchi anarudi kuwapachika vyeo ? Wewe kama una akili timamu pima na utoe jibu ? Kama unafurahia sio mbaya kila mtu anaujua uzima wa akili yake kwa vile anvyojiona yeye ni mzima. Kwa mimi nitakuona ni taahira japo mwenyewe unajiona mzima.

Hivyo unaposema hakuna dogo basi ujue kuwa yaliopita Pemba si mambo ya kuonekana kuwa ni madogo ,ni unyanyasi mkubwa ambao umefanywa na apitae kufanya unyanyasaji huo(Ubakaji) hufananishwa na mnyama na Kikwete analifahamu hilo kutokana na dini yake au yetu.

Je tunatawaliwa na wanyama ? Hivyo kama kuuliwa wapemba wameshauliwa,kama kunyanyaswa wameshanyanyswa kama kunajisiwa wameshanajisiwa sasa wanataka nini zaidi au wanaogopa nini zaidi huoni kama wapo tayari hao waliobakia nao kufa ,watakaokimbia watakimbia na watakao kufa na mtu watakufa lakini hakuogopwi tena ,lolote litakalotomezwa basi lijue kuwa huko linakotomezwa vilevile kifo kipo.Lakini mambo ya kuvumiliana yameshafika mwisho kwa Pemba sasa huko Tarime na Rorya kama bado ni huko na sio Pemba ya kwenu bado ni madogo.
 
Hakuna yoyote anayeweza kupigana na jeshi la wakurya toka zamani (JWTZ). Wapemba hapa wanacheza tu.

Ulizia makamanda wako kuhusiana na vita vya Uganda nani aliwatimua Waganda. Afu hao wakurya si majuzi tu wameuliwa na kabila moja la huko.
Na inaonyesha unatawaliwa na woga ndio ukafikia kusema hivyo ,Marekani na ukubwa wake ameshindwa Somalia ,amehenyeshwa IraQ na sasa anapewa kisago katika milima ya Afghani ,mnaweza kukitesa kisiwa cha Pemba kwa sababu ni kisiwa ila kama ingekuwa tambarare ,leo hii tungekuwa tunazungumza lugha nyengine.
 
SIo hakuna dogo ,yaliotokea Pemba ni mambo ambayo yamewacha historia ,huko Tarime na Rorya ni wananchi against wananchi ,ndiko kunakofaa kupelekwa jeshi ,polisi au FFU lakini sio Pemba ,vyombo hivyo vikipekwa huko Pemba kwa wingi huo vinahesabika vinakwenda kufanya machafu ,kuwadhalilisha watu, inaeleweka CCM walijitangazia ushindi sasa ilikuwaje kuwaje watu kuuliwa na kuingiliwa majumbani ? Kufikia vyombo hivi kufanya machafu katika sehemu moja ya nchi yao ujue kuwa sehemu hiyo automatic itajihesabu sio sehemu ya Nchi na kwa hivyo Pemba wamejihesabu kuwa wao si WaTanzania na sababu hiyo ndio moja kati ya sababu zinazopelekea wao kuwa na madai UN.

Hapa nataka upime sana usiwe mbishi wala usiwe na jazba kwa kuwa wewe tu ni mpenzi wa CCM au ni Mtanganyika , chukulia linatoka jeshi na mapolisi wanavamia Kigoma na kutenda udhalilishaji wa kuingilia mwanafamilia mbele ya familia ,mke mbele ya mumewe na watoto wake ,wanapiga wanalawiti na kufanya kila ovu unalolijua wewe(Pemba yamefanywa hayo na hao mnaowaita waliokwenda kwenye au waliomo ndani ya nchi yao).

Sasa wamefanya uasherati huo hapa Kigoma ,hivi wananchi wa Kigoma watahisi vipi ? Polisi na majeshi wamekwenda kufanya unyama ndani ya nchi yao tena baada ya Chama wanachokiunga mkono kujitangazia ushindi ? Chombo cha dola kinafanya mambo ya udhalilishaji ndani ya nchi inayojitawala tena kidemokrasia halafu Raisi wa Nchi anarudi kuwapachika vyeo ? Wewe kama una akili timamu pima na utoe jibu ? Kama unafurahia sio mbaya kila mtu anaujua uzima wa akili yake kwa vile anvyojiona yeye ni mzima. Kwa mimi nitakuona ni taahira japo mwenyewe unajiona mzima.

Hivyo unaposema hakuna dogo basi ujue kuwa yaliopita Pemba si mambo ya kuonekana kuwa ni madogo ,ni unyanyasi mkubwa ambao umefanywa na apitae kufanya unyanyasaji huo(Ubakaji) hufananishwa na mnyama na Kikwete analifahamu hilo kutokana na dini yake au yetu.

Je tunatawaliwa na wanyama ? Hivyo kama kuuliwa wapemba wameshauliwa,kama kunyanyaswa wameshanyanyswa kama kunajisiwa wameshanajisiwa sasa wanataka nini zaidi au wanaogopa nini zaidi huoni kama wapo tayari hao waliobakia nao kufa ,watakaokimbia watakimbia na watakao kufa na mtu watakufa lakini hakuogopwi tena ,lolote litakalotomezwa basi lijue kuwa huko linakotomezwa vilevile kifo kipo.Lakini mambo ya kuvumiliana yameshafika mwisho kwa Pemba sasa huko Tarime na Rorya kama bado ni huko na sio Pemba ya kwenu bado ni madogo.

Hayo mambo unayosema ya ubakaji yalifanyika 2001 wakati wananchi 'wema' walipochinja polisi wewe mwenye 'akili nyingi'?
 
Ulizia makamanda wako kuhusiana na vita vya Uganda nani aliwatimua Waganda. Afu hao wakurya si majuzi tu wameuliwa na kabila moja la huko.
Na inaonyesha unatawaliwa na woga ndio ukafikia kusema hivyo ,Marekani na ukubwa wake ameshindwa Somalia ,amehenyeshwa IraQ na sasa anapewa kisago katika milima ya Afghani ,mnaweza kukitesa kisiwa cha Pemba kwa sababu ni kisiwa ila kama ingekuwa tambarare ,leo hii tungekuwa tunazungumza lugha nyengine.

Sasa kumbe waoga, kelele zote za nini? Wale wazee walioenda UN kudai uhuru wa Pemba waliishia wapi? Au bado wananegotiate, maana uhuru sio mchezo!
 
Kutokana na kupelekwa maelfu ya mapolisi pale ambapo hapana uvunjaji wa amani
Hivi ndugu yangu una maana gani unaposema uvunjaji wa amani. Na ukasema Pemba haupo? Hivi unasahau vile visa mlivyofanya? Jee si mnaweza kukusanya wendawazimu wenu mkafanya tena visa vile. Sasa kwa nini Mwemaasijitayarishe. Kule kwetu Makunduchi ambako hakujapatapo kufanywa fujo mbona hawapelekwi hao askari? Mtavuna mlichopanda. Huko kwenu ni busara kuimarisha ulinzi.
 
Hayo mambo unayosema ya ubakaji yalifanyika 2001 wakati wananchi 'wema' walipochinja polisi wewe mwenye 'akili nyingi'?
Hivi kweli wananchi wema wanachinja polisi-au wanashirikiana na polisi kusaka wahalifu na kuimarisha amani katika makaazi yao?
 
CUF: Why more police for Pemba?





Hamad Mohamed Rashid, Wawi MP, (CUF),


Civic United Front (CUF) has opposed government plans to beef up the police force in Pemba, claiming that the move which was started in 2008/2009 was a plan to rig the general elections next year.

They said it was odd for the government to consider increasing numbers in the police force for Pemba when the few currently on the island live in poor conditions.

The legislators were speaking on the sidelines of the ongoing budget session in Dodoma.

Hamad Mohamed Rashid, Wawi MP, (CUF), who is also leader of the opposition in parliament, told The Guardian on Sunday that, the decision was a political one, focusing on ensuring certain people win the coming general elections.

“Any government bent on clinging to power will strive to increase the number of law enforcers on the pretext of improving security,” he said..

According to the legislator, the government decision would bring fear to people in the isles, claiming that they have experienced police wrath before during such elections.
Riziki Omar Juma (Special Seats-CUF) wondered, saying: “Do we really need that number of policemen during elections only. Crime is everywhere in the country yet the government is bold enough to tell us these officers are in readiness for elections.”
She said the government should instead improve the living conditions of police officers and increase their allowances before recruiting any other more officers.
Mkanyageni MP, Mohamed Juma Mnyaa (CUF) wondered why security was being beefed up in Pemba and not Tarime or Rorya districts in Mara Region where there are ethnic clashes.
“The big number of heavily armed police in Pemba threatens people and makes the voters’ registration exercise a whole mess. Why deploy police in Pemba where there is peace, and not Rorya and Tarime,’’ he asked.
Wete MP, Ali Said Salim (CUF) cautioned authorities that if voters’ registration, voting and elections results are messed up there would be a recurrence of bloodshed after next year’s elections as it happened in 2001.
Meanwhile, Rashid further claimed that 2,100 people have been denied registration in the Permanent Voters’ Register (PVR).
He said requiring people to provide Zanzibar living permits before getting access to PVR was unfair and asked the Union Government to intervene.
Reacting to CUF claims, the government has maintained that the police force was being strengthened in order to maintain peace and order in Pemba.
Tabling budget estimates for his ministry for 2009/10 mid this week, Minister for Home Affairs Lawrence Masha, said the officers will maintain peace during local governments and general elections next year.
It was part of preparation on the part of the police to ensure the elections will be conducted peacefully, and according to Masha, the preparations would include the purchase of vehicles and other anti-riot devices.
``Starting 2008/09 the police force has started to implement the security strategy during local government election later this year and general election in 2010. The preparations aim to increase 7,000 police officers’’ he said.
Masha told the House that 150 new police officers will be recruited this financial year and 36 officers will undergo various training courses. The minister also said the prison department will recruit 598 new warders during this financial year, stating that 1,081 prison officers were employed last financial year.
He said during 2009/10, 22 vehicles will be bought. Two buses to carry inmates for prisons in Arusha and Coast regions would be bought as well as five pick-ups for the same regions. He asked the House to approve over Sh395.34bn.
Hawa wapemba kuwapelekea askari ni sawa tu maana wamezoea ukorofi mimi nawaona wapemba ni hatari zaidi kushinda hata wakurya mtavuna mlichopanada
 
Sasa kumbe waoga, kelele zote za nini? Wale wazee walioenda UN kudai uhuru wa Pemba waliishia wapi? Au bado wananegotiate, maana uhuru sio mchezo!

Hizi arguement nyingine zinaonyesha JF imevamiwa sasa!!!!! no reasoning any more!!!!

Tiba
 
Hivi huyu Rashid Mohamed ameshakuwa IGP sasa. Mbona anadictate idadi ya polisi wa kupeleka Pemba na Rorya?
 
Sio mchezo bwana hakuna aliyeivamia Pemba watu wako kazini. Wakileta fujo kama wanavyotaka kufanya sasa hivi? Ni kurudisha amani mahali pake! Viongozi wa Pemba ndio wanaochochea vurugu. Dont trouble the trouble before trouble troubles you! Huoni hata title ya thread hii ni muendelezo wa uchochezi? Acheni hizo bwana!
Mungu wasamehe wanao'nga'ngania kukuomba mali kuliko akili.
 
Sishangai kwa hawa wanaokejeli maafa yaliowakuta ndugu zetu kule Pemba na hata unguja kwa uchaguzi uliopita na hasa ukizangatia na matayarisho hayo yanayofanywa hivi sasa,hawa watu wanaokejeli wapo wa aina mbili, wa kwanza.. akiuliwa muislam wao husema bora ikiwezekana wamalizwe.. Na wa pili ni Wana-ccm hufurahi saana wakiskia Cuf wameuliwa.. sasa hawa wanaokejeli ni ktk hao,inauma sana kuona una kejeli mwenzako aliepata matatizo makubwa ambayo kama ukiona mkanda utalia tu,tena kwa kuwa ati amekipigia kura chama cha Cuf.. HUZUNI KUBWA KABISA.. ukiona mwenzako ananyolewa basi wewe tia maji baba...
 
Sishangai kwa hawa wanaokejeli maafa yaliowakuta ndugu zetu kule Pemba na hata unguja kwa uchaguzi uliopita na hasa ukizangatia na matayarisho hayo yanayofanywa hivi sasa,hawa watu wanaokejeli wapo wa aina mbili, wa kwanza.. akiuliwa muislam wao husema bora ikiwezekana wamalizwe.. Na wa pili ni Wana-ccm hufurahi saana wakiskia Cuf wameuliwa.. sasa hawa wanaokejeli ni ktk hao,inauma sana kuona una kejeli mwenzako aliepata matatizo makubwa ambayo kama ukiona mkanda utalia tu,tena kwa kuwa ati amekipigia kura chama cha Cuf.. HUZUNI KUBWA KABISA.. ukiona mwenzako ananyolewa basi wewe tia maji baba...

Tunawaonea sana huruma ila maneno yao ya uchochezi na ubaguzi sio mazuri. Title yenyewe ya thread hii ni ya kichochezi, 'Pemba kuvamiwa', ni kama watu toka bara hawaruhusiwi kwenda Pemba wakati ni sehemu ya nchi yao!
 
Sishangai kwa hawa wanaokejeli maafa yaliowakuta ndugu zetu kule Pemba na hata unguja kwa uchaguzi uliopita na hasa ukizangatia na matayarisho hayo yanayofanywa hivi sasa,hawa watu wanaokejeli wapo wa aina mbili, wa kwanza.. akiuliwa muislam wao husema bora ikiwezekana wamalizwe.. Na wa pili ni Wana-ccm hufurahi saana wakiskia Cuf wameuliwa.. sasa hawa wanaokejeli ni ktk hao,inauma sana kuona una kejeli mwenzako aliepata matatizo makubwa ambayo kama ukiona mkanda utalia tu,tena kwa kuwa ati amekipigia kura chama cha Cuf.. HUZUNI KUBWA KABISA.. ukiona mwenzako ananyolewa basi wewe tia maji baba...
Calipso. Watu hawapigwi kwa kupigia kura upinzani katika nchi yetu ya Tanzania. Wewe hujui hivyo? Huoni mifano. Hebu rejea kumbukumbu zako . Nini kilitokea kule Pemba mpaka yakajiri yale. Sasa ni nani wa kumlaumu. sawa wameshalaumika wote wahusika. Lakini huko tuendako wote hao wahusika waelewe madhara ya kitu kama hicho. sasa Serikali wakisema wanaimarisha FFU wao. CUF waseme sisi hatutofanya fujo. Si basi yameisha.
 
Mungu wasamehe wanao'nga'ngania kukuomba mali kuliko akili.
Amin. Lakini msifanye mlichofanya huko nyuma. Hatimaye wanaoathirika ni ndugu zetu. Na msiba wako Junius ni msiba wa kwangu.
 
Tatizo la Wapemba wamekaa kisharishari. Mbona wao wakiishi Tanzania bara au Tanganyika kama wanavyoitwa wao hawaitwi wavamizi! Mnatafuta sababu tu za kuanza fujo! Sasa hawa ambao wako kazini kisheria wanaitwa wavamizi, acheni ubaguzi bwana!
 
Tatizo la Wapemba wamekaa kisharishari. Mbona wao wakiishi Tanzania bara au Tanganyika kama wanavyoitwa wao hawaitwi wavamizi! Mnatafuta sababu tu za kuanza fujo! Sasa hawa ambao wako kazini kisheria wanaitwa wavamizi, acheni ubaguzi bwana!

Hivi ghafla Nduguyo wa damu anakuletea ulinzi nyumbani kwako maaskari kama 20 hivi, pana usalama kweli hapo?
 
Back
Top Bottom