Pembejeo za kilimo {VOCHAR}

Ombeni w lema

Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
22
Reaction score
1
Hizi pembejeo za kilimo zinazo tolewa nchini!ni matatizo tupu.mkoa knjaro wilaya ya HAI MACHAME MASHARIKI 50% ya wajane yatima wamekosa.na nimojawapo ya watu wenye mashamba.chakushangaza,30% ya wasio kuwa na mashamba ndo wamepata ruzuku.nauliza je tutafika?ufisadi mpaka kwa wenye viti vs makatibu,Daah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…