Pen down business ideas zinazoendana na mazingira ya Bongo

Pen down business ideas zinazoendana na mazingira ya Bongo

Joined
Oct 2, 2014
Posts
42
Reaction score
4
Miji ya Tanzania inakua kwa kasi mwaka hadi mwaka. Kwa sababu ya ongezeko la watu biashara nayo inaongezeka. Je, zipi zitafit mazingira ya miji yetu?

Tafadhali, orodhesha mawazo ya biashara inayoendana na mazingira ya Bongo tubadilishane mawazo.

========
Habari zenu wakuu,

Nimeona watu wengi wanahitaji busines ideas hivyo nimeanzisha uzi huu maalum kwa faida ya wote, naomba kama unawazo lolote la biashara unayoamini inalipa basi tupia hapa ili tuweze pata mawazo mbalimbali nakuyafanyia kazi.

Mi naanza na haya;
- Car wash
- Kuuza dawa za nguvu za kiume
- Kuuza nafaka
- Kukopesha kwa riba
- Kufanya bodaboda (ya kwako)

NB; Andika kwa kifupi

Ahsanteni, Mungu awabariki.
 
I have 3 business idea. I'm looking for funding;

1. 2.5 mil

2. 5 mil

3. 10 mil

Easy contact 0713774746 (WhatsApp also)

HII NI MOJA WAPO
Barber.jpg
 
Ni pm hz biz idea km ziko poa tui-implement moja wapo ni mp nikupe email address uitume tuone cha kufanya!
 
Back
Top Bottom