Penalty wanawasaidia tu ilibidi msipate usajiri wa mwaka wa masomo bila kukamilisha ada ya semisterKuna barua imesambaa mitandaoni ikionyesha mkuu wa chuo cha sauti akishinikiza Wanaoshindwa kulipa ADA kupigwa penalty
Sio Jambo JEMA na la busara kulikalia kimya WAPO WATOTO WENYE shida je anachelewa kulipa ada UNAHISI hio penalty anapata wapi
Imenisikitisha Sana
Tunaomba wazirii HUSIKA alifwatilie hili
Bunge lisikae kimya lifwatilie HILI Jambo kwa manufaa ya WATOTO wajao
Kuna MAISHA BAADA ya KESHO
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE UWIII ADA TU SHIDA PENALTY SI KONYOO NIMEELEEWA KWANIINI wengi awamalizi degree ZAO hapo St augustine
Acha kulialia. Elimu ya chuo kikuu si ya wote. Kama unadhani umasikini utakufanya upate excuse ya kuchelewa kulipa hiyo ada, jibu unalo. Sisi tumesoma hapo mbona ni jambo la kawaida?Kuna barua imesambaa mitandaoni ikionyesha mkuu wa chuo cha sauti akishinikiza Wanaoshindwa kulipa ADA kupigwa penalty
Sio Jambo JEMA na la busara kulikalia kimya WAPO WATOTO WENYE shida je anachelewa kulipa ada UNAHISI hio penalty anapata wapi
Imenisikitisha Sana
Tunaomba wazirii HUSIKA alifwatilie hili
Bunge lisikae kimya lifwatilie HILI Jambo kwa manufaa ya WATOTO wajao
Kuna MAISHA BAADA ya KESHO
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE UWIII ADA TU SHIDA PENALTY SI KONYOO NIMEELEEWA KWANIINI wengi awamalizi degree ZAO hapo St augustine