kuna upigaji ambao unaendelea kujiuliza maswali mengi sana ....nakumbuka Yanga wameshatimua wapigaji wengi wazembe akiwemo Jobe Ayubu 'Kwasakwasa' na hivi karibuni simba walimtimua Mussa Mude ingawa kwa simba sishangai maana hata red card wanakutimuaKukosa penati hiyo kuliwatoa wachezaji mchezoni huku mashabiki wakinyong'onyea maana walishindwa kuamini aliyepiga ni Samatta au Abdi Kassim (Barrack wa Unguja aliyekuwa anapiga penati Kizenji)!
Tulitaka tuifunge Misri toka siku hiyo. Haiwezekani sie tuendelee kuwa kichwa cha mwendawazimu. Sasa tunaelekeza nguvu kwa Nigeria kusaka heshima tu maana hatuwezi kufuzu hata kama wachawi wote wa Tanzania wataunganisha matunguri yao kwa pamoja.Mlitaka muifunge Misr, toka lini?
ndugu yangu tutakuwa na uwezo wa kujipanga na kuifunga Misr pale ligi yetu itakapoachanishwa na siasa. CCM kwa vile ndo mmiliki wa viwanja vya michezo nchini haiko tayari kuona simba na yanga zinashuka daraja kwa sababu ndo mtaji wake.Tulitaka tuifunge Misri toka siku hiyo. Haiwezekani sie tuendelee kuwa kichwa cha mwendawazimu. Sasa tunaelekeza nguvu kwa Nigeria kusaka heshima tu maana hatuwezi kufuzu hata kama wachawi wote wa Tanzania wataunganisha matunguri yao kwa pamoja.
Shafh dauda?