Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Katika mechi iliyochezwa juzi kati ya Simba na Stand United baada ya matokeo kuwa 1-1 na kuingia kwenye matuta.
Jambo hilo lilipelekea kifo kwa mtu mzima mmoja eneo la Kiwalani ambaye alikuwa akiangalia mpira na watu wengine. Mara baada ya Ibrahim Ajibu kukosa penati, ndugu yule mpenzi wa Simba alianguka kwa mshtuko.
Leo imepatikana habari kuwa alienda kufariki hospitali. Kitaalam wanasema ni mshtuko wa moyo ndiyo ulimuondoa duniani.
Poleni wana Simba.
Jambo hilo lilipelekea kifo kwa mtu mzima mmoja eneo la Kiwalani ambaye alikuwa akiangalia mpira na watu wengine. Mara baada ya Ibrahim Ajibu kukosa penati, ndugu yule mpenzi wa Simba alianguka kwa mshtuko.
Leo imepatikana habari kuwa alienda kufariki hospitali. Kitaalam wanasema ni mshtuko wa moyo ndiyo ulimuondoa duniani.
Poleni wana Simba.