Pendekeza bei ya petrol n diesel Kwa mwezi January

Pendekeza bei ya petrol n diesel Kwa mwezi January

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Nchi hii ni yetu sote.

Lakin vile vile serikali itambue Dunia sasa ni Kijiji sababu ya utandawazi.

Hapo kabla tuliambiwa Sana kuhusu kushika thamani Kwa sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani kunavyopandisha bei za Mafuta.

Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,, Shilingi yetu inapanda thamani Kwa Kasi dhidi ya Dola .

Serikali itambue wananchi tunafuatilia kupanda huku Kwa sarafu yetu .

Hatutawaelewa Kama mwezi January Petro itakuwa zaidi ya Tsh 2500 Kwa Lita huko Daslam
 
Nchi hii ni yetu sote.

Lakin vile vile serikali itambue Dunia sasa ni Kijiji sababu ya utandawazi.

Hapo kabla tuliambiwa Sana kuhusu kushika thamani Kwa sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani kunavyopandisha bei za Mafuta.

Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,, Shilingi yetu inapanda thamani Kwa Kasi dhidi ya Dola .

Serikali itambue wananchi tunafuatilia kupanda huku Kwa sarafu yetu .

Hatutawaelewa Kama mwezi January Petro itakuwa zaidi ya Tsh 2500 Kwa Lita huko Daslam
Kama walinunua bei ya juu ya zamani na bado wanayo, itajuwaje
 
Dola si imeshuka vp mafuta nayo yameshuka

Ova
 
Wanasiasa wa upinzani ndo wangetakiwa ku comment kwenye mambo kama haya, ila wapo kimya kwahiyo serikali haiwezi kukumbuka kwamba yanastahili kushuka. wao wapo busy na mbowe na lisu
 
Nchi hii ni yetu sote.

Lakin vile vile serikali itambue Dunia sasa ni Kijiji sababu ya utandawazi.

Hapo kabla tuliambiwa Sana kuhusu kushika thamani Kwa sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani kunavyopandisha bei za Mafuta.

Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,, Shilingi yetu inapanda thamani Kwa Kasi dhidi ya Dola .

Serikali itambue wananchi tunafuatilia kupanda huku Kwa sarafu yetu .

Hatutawaelewa Kama mwezi January Petro itakuwa zaidi ya Tsh 2500 Kwa Lita huko Daslam
Baada ya sikukuu tutarudi kwenye default mode
 
Kweli kabisa .

Tatizo viongozi tulionao wapo Kwa ajili ya familia zao tu
Kwa kifupi wanasiasa wengi ndio watesi wetu kwenye maeneo mengi ya kiuchumi!
Wameshika maeneo yote nyeti from fuel, afya, miundombinu, usafirishaji etc...
 
Mwaka 1999 Daslam dizel ilikuwa TZS.280 @ lita na petrol 300@lita ilipopanda kufika TZS.500 ilikuwa gumzo Kama kamgomo Fulani na vituo vingi vingi vilikosa wese so ndo ikawa kila Leo inapanda
 
Nchi hii ni yetu sote.

Lakin vile vile serikali itambue Dunia sasa ni Kijiji sababu ya utandawazi.

Hapo kabla tuliambiwa Sana kuhusu kushika thamani Kwa sarafu ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani kunavyopandisha bei za Mafuta.

Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,, Shilingi yetu inapanda thamani Kwa Kasi dhidi ya Dola .

Serikali itambue wananchi tunafuatilia kupanda huku Kwa sarafu yetu .

Hatutawaelewa Kama mwezi January Petro itakuwa zaidi ya Tsh 2500 Kwa Lita huko Daslam
Ikiwa 1,050/= sio mbaya.
 
Wanasiasa wa upinzani ndo wangetakiwa ku comment kwenye mambo kama haya, ila wapo kimya kwahiyo serikali haiwezi kukumbuka kwamba yanastahili kushuka. wao wapo busy na mbowe na lisu
Wewe ni kilaza
Tena popoma
Mkiambiwa mtoke muandamane hamtaki halafu unajificha ndani unataka upinzan ukusemee wewe matako kila mtu apambane na hali yake
Pumbavu kabsaa hata wewe unaweza kutoka ukasema kwa nn usemewe

Nyie wapumbavu ni mabingwa wa kulaumu wengi
 
Kwa kifupi wanasiasa wengi ndio watesi wetu kwenye maeneo mengi ya kiuchumi!
Wameshika maeneo yote nyeti from fuel, afya, miundombinu, usafirishaji etc...
Ndiyo wamiliki wa vituo vya mafuta
 
Mafuta yako juu sio kwa sababu ya dola pekee, sababu zngine ni tozo, ushuru na kodi

cha msingi ni kuondoa au kupunguza hizo tozo, kodi na ushuru
 
Back
Top Bottom