Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Mikono kichwani kwani nani kafariki?[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikono kichwani kwani nani kafariki?[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Nakuona unavyoiua ndoa yangu.
Itakuwa ulikuwa bado haujajiunga humu au tulipishana. Ila tayari kitambo tu.Lini hiyoo bebee?
Mbona sijawahi kuuona huo uzi?
We haya tu!
Aaah bebee,mi wa kitambo!labda ntakua sikuuonaItakuwa ulikuwa bado haujajiunga humu au tulipishana. Ila tayari kitambo tu.
Mmmhhh ulipitwa wapii?? ulikaa karibu siku mbilii...
Kasinde aka Kasie MatataYuko Hewani (Online) Muulize Swali hatakosa jibu.... - JamiiForums
Ukipata muda usome huo hapo halafu uniambie kama kuna maswali hapo yamesalia kisha Dadii akinipa kibali ntaingia ulingoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaah bebee,mi wa kitambo!labda ntakua sikuuona
Mi nimekupokea kabisa wakati unaingia humu kipindi hicho unatokea kijiji gani sijui Mara huko..hahaha
Nimeuona ..mie sikuuona aiseee bas ww hufai kwenye hardtalk..ushamaliza kule sisy
Nipe link basi ya huo uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akuuuuu.[emoji85][emoji85][emoji85]Nipe link basi ya huo uzi
sister shunie [emoji4]Ndugu yangu acha tu sisi wengine tuendelee kuwa wasomaji tu babe
Ngoja niutafute!Akuuuuu.[emoji85][emoji85][emoji85]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sanaaa jamani
Ngoja niutafute!
Halafu auntie nakuona tu ujue mnapendana na huyu mgogoAkuuuuu.[emoji85][emoji85][emoji85]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu auntie nakuona tu ujue mnapendana na huyu mgogo
Unaanza kuswalikwa saa ngapi?Sanaaa jamani
Hautoupata bebee.Ngoja niutafute!
Kheeee na anko wangu Mo anasimama wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ni bebee wangu auntie. Mdaka chozi wangu.
Kwani auntie unateseka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85]Kheeee na anko wangu Mo anasimama wapi