Pendekeza Majina ya Wabunge wapya ambao ungependa waingie Bungeni Hapo Mwakani

Wanasiasa mwogopeni Mungu,
Imeandikwa kwenye kitabu gani kuwa "sauti ya wengi ni sauti ya Mungu"
Kipindi cha Nabii Nuhu kulikuwa na sauti za watu wagapi wakipinga Nuhu na Safina yake?
Je waliookolewa walikuwa wengi au kidogo?
Vipi kipindi cha Mtumishi wa Mungu Lutu waliookolewa na ule moto wa Sodoma na Gomora wengi au wachache walio kuwa watiifu?
 
1.Mh Godbless lema
2.Mh Dr Wilbroad Slaaa
3. Mh Sugu
4. Mh John Heche
5. Mh Mch. Msigwa
 
1.Mh Godbless lema
2.Mh Dr Wilbroad Slaaa
3. Mh Sugu
4. Mh John Heche
5. Mh Mch. Msigwa
Hawa ni wasaka Tonge na wachumia tumbo tu. Hawana lolote wanaloweza kusaidia katika mawazo chanya ya ujenzi wa Taifa letu.kwa sababu ni watu wa Ndimi mbili.
 
Mkuuu rekebisha kichwa cha huu uzi basi,,, au weka masharti kwamba wachangie wana sisiemu tu,,,
Maana mawazo yangu na mapenzi yangu huyataki,,,
Acha u****e.😎
 
Kumwacha nje Luhaga Mpina kunaonyesha hauko serious.
Au unatafuta wabunge wa 'ndiyo mzee' peke yake?
 
Hivi Lucas Mwashambwa akili yako iko sawa kweli?
 
Ni basi tu watu hawana uelewa na mambo katika watu hawana kazi hapa Tanzania ni Wabunge.
Wanakula pesa za walipa kodi bure tu.
 
Hebu siku moja moja karibu kiwa serious tumechoka na vichekesho vyako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…