Pendekeza Majina ya Wabunge wapya ambao ungependa waingie Bungeni Hapo Mwakani

LUHAGA MPINA wa kwanza kabisa ameitendea haki nafasi yake na Taifa
 
Napendekeza vyama vya upinzani viingize wabunge wengi bungeni Ili bunge lichangamke

Ili iwe tofauti na Sasa. Maana bunge ni kama limelala hivi!
 
Napendekeza vyama vya upinzani viingize wabunge wengi bungeni Ili bunge lichangamke

Ili iwe tofauti na Sasa. Maana bunge ni kama limelala hivi!
Kumbuka vyama vya upinzani ni watu wanaopigania maslahi yao tu.ndio sababu wamekuwa watu wa Ndimi mbili katika nyakati tofauti tofauti.
 
Tlaatlah,Lucas,Choice variable na chawa wote waliojaa humu.
 
Lucas Hebel Mwashambwa
P
 
Punguza ujinga kenge wewe
 
Idiot
 
Inakuwaje wengi ni wagalatia walewale miaka nenda rudi hakuna maendeleo yoyote wameiletea hii nchi mpaka Mama ameingia kutuokoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…