Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ukapimwe akiliNi kiongozi wa Jeshi Polisi aliyekosa weledi na asiye na uwezo wa kuona chanzo cha matatizo ya uchaguzi , intelijensia yake ni sifuri kabisa .
Pamoja na kufahamika wazi kabisa kwamba chanzo cha matatizo ya kisiasa ya Pemba na maeneo mengine nchi nzima ni uhuni wa Tume ya uchaguzi kupitia makada wa CCM wanaoitwa Wakurugenzi lakini yeye kama mkuu wa Polisi amefumba macho na kuamua kuwamwagia mikwara na vitisho raia wasio na hatia yoyote kwenye jambo hili , sasa yaweza kuwa ametumwa kutikisa kiberiti au labda amejituma mwenyewe.
Baada ya kumchunguza kwa jicho la tatu napendekeza kwa Rais mpya atakayetokana na CHADEMA kumfuta kazi mara moja ndugu Simon Sirro masaa machache tu baada ya kuapishwa , hafai kuongoza taasisi kubwa kama hii na anatumika .
kwamba Sirro hagusiki siyo ? ngoja nikupe ushuhuda mdogo .Naona ukapimwe akili
Ni kiongozi wa Jeshi Polisi aliyekosa weledi na asiye na uwezo wa kuona chanzo cha matatizo ya uchaguzi, intelijensia yake ni sifuri kabisa.
Pamoja na kufahamika wazi kabisa kwamba chanzo cha matatizo ya kisiasa ya Pemba na maeneo mengine nchi nzima ni uhuni wa Tume ya uchaguzi kupitia makada wa CCM wanaoitwa Wakurugenzi lakini yeye kama mkuu wa Polisi amefumba macho na kuamua kuwamwagia mikwara na vitisho raia wasio na hatia yoyote kwenye jambo hili , sasa yaweza kuwa ametumwa kutikisa kiberiti au labda amejituma mwenyewe.
Baada ya kumchunguza kwa jicho la tatu napendekeza kwa Rais mpya atakayetokana na CHADEMA kumfuta kazi mara moja ndugu Simon Sirro masaa machache tu baada ya kuapishwa , hafai kuongoza taasisi kubwa kama hii na anatumika .
Chadema itaiondoa ccm madarakani kwa msaada wa ummaChama gani kinaweza kuondoa chama tawala, CCM madarakani?! By hooks and crooks, chama cha Prof Mkumbo wakati huo (ACT-Wazalendo)kamwe hakitakubali kushirikia na CHADEMA kungoa mizizi ya Chama tawala! 2015 kilimuita by then mpinzani Mkuu wa chama tawala Mhe Edward Lowassa fisadi. Maalim Seif karukia moto badala ya kujiunga na chama rafiki(by then) Chadema! What a pity!CCM ilikuwa ICU 2015 wakashindwa, leo CCM iko kama TANU ya 1976 yaani chama kimeshika hatamu kwenye nyanja zote mpaka nje ya mipaka ya Tz. Narudia tena ACT-Wazalendo wabunge Bara null and void, NCCR, TLP, CUF, NRA, UDP, CHAUMMA, hawatavuna mbunge hata mmoja Bara wala Visiwani, yetu macho!walizembea 2015!
Ila nyie majasiri aisee ...yaani mnaamini kabisa mtashinda ....dah [emoji38][emoji38][emoji38]
uliza tena swali lakoIla nyie majasiri aisee ...yaani mnaamini kabisa mtashinda ....dah [emoji38][emoji38][emoji38]