Kwani si naskia huko aliko pamoja na kuwa kiongozi mkubwa, kuna mabarabara na mitaa imepewa kwa jina lake sasa tatizo nini tena?Hatujawahi kuwa na Rais mchapakazi namna ile, anayeshinda site na kuipitia hata ile miradi tuliyoidharau na kuiona midogo, hilo moja ni la kuenziwa na nitamkumbuka kwalo!
Unataka kuleta laana barabarani ili kila dk magari yawe yanapinduka ?Ili kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
Hii barabara aliijenga kwa lawama nyingi sana, inashangaza wameshindwa hata kuifikisha Chalinze na kimsingi ilitakiwa igote hapoIli kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330
Hatutakubali huo ujingaStendi Magufuli Masoko Magufuli kwa hiyo na hii Nji ibadilisheni jina tujue moja.
Basi hata hii ya Kimara -Kibaha ibaki Morogoro Highway mbona MAGUFULI alikataa Daraja la Kigamboni kuitwa JAKAYA KIKWETE na ndiye Aliyelijenga?Kibaha -morogoro itabaki kuwa Morogoro Road au Morogoro Highway
Mipango miji mibovuu inapelekea hata miradi mikubwa kama hii haivutii inavyostahili barabara imepindapinda kama nyoka..Ili kumuenzi hayati John Magufuli kwa kazi zake nzuri za ujenzi , Kipande cha Barabara ya Kimara hadi Kibaha kibadilishwe jina kutoka morogoro road na kiitwe MAGUFULI HIGHWAY.
Hii itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ma pia itaonyesha kudhamini mchango wake hasa kwenye ujenzi wa miundo Mbinu.
Tunaomba rais pamoja na baraza lako ulifikirie hilo. View attachment 2593330