Pendekezo: Eng. Kakoko amrithi Patrick Mfugale

Pendekezo: Eng. Kakoko amrithi Patrick Mfugale

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi.

Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu

1625040387210.png

 
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi. Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu
Huyu hatakiwi kwa vile anapinga wizi mkubwa ambao haujawahi kutokea wa akina Jakaya Kikwete wa bandari ya Bagamoyo.
 
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi. Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu
Mkuu mbona kuna wahandisi wengi tu sana CV kubwa kushinda kakoko ...!
 
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi. Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu
Huko TANROADS siyo ndiyo atatupiga juu kwa juu. Barabara ya kudumu miaka zaidi ya 20, itadumu mwaka mmoja tu. Madaraja yatabomoka kila siku. Bora aendelee kuchapa lapa mtaani tu
 
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi. Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu
Mkuuu watu ni wengi wenye sifa zaidi ya hizo za Kakoko wako.sema hawajapewa nafasi waonyeshe makali Yao. Haiwezakani mtu alikuwa mbunge afu awe dc Kama vile hakuna vijana wa kujaza iyo nafasi.
Unakuta mtu ameshachuma vya kutosha na Kumbuka hakuna kutosheka.so apewe na mwingine fresh achume naye afaidi kidogo nyumba Yao na sio mtu mmoja tu anafaidi Kama vile akazaliwa peke yake.yaani mzee bado hajawa wa baridi watu mmeshaanza kumrithi cheo chake jamani
 
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi. Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu
Amrithi sio amrisi
 
Ndugu.
Wahandisi wapo wengi sana wenye weledi usio tia shaka.
Vipi kuhusu Eng.Prof. Ninatubu Lema.
Eng. Prof. Nyaoro na wengine wengi tu including na sisi mwenyewe.
 
Ukiacha sababu za kisiasa mimi naona Eng. Kakoko aliyekuwa Director General wa Tanzania Ports Authority angetosha kabisa kubeba mikoba ya Eng. Mfugale. Eng. Kakoko kabla yakuteuliwa kuwa DG wa TPA alikuwa Regional Manager wa TanRoads Arusha na baadae JPM alimuhamishia Wizarani yeye akiwa Waziri wa Ujenzi. Eng. Kakoko is well mannered, educated, and hard-worker guy with the highest level of integrity and veracity. Kwasasa Eng. Kakoko yuko mtaani baada ya kusimamishwa kazi na Mama Samia Saluhu kwa tuhuma ambazo zinamkabili.

Ni mawazo tu
Tusimpangie mama...tuachane na speculations...mara vile mara hivi mara bandari ya bagamoyo...vitu vya kubunibuni
 
Back
Top Bottom