42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Hebu nitajie hata maneno 10 ya kilatini ambayo yapo kwa kiswahili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na China haiwezi kukusaidi kitu, ongelea Taifa lako.
China wamekataa cheo cha kuwa developed ili wapate 'fursa' fulani za kiuchumi. Kwa ulingano ni kwamba vyuo vinavyofundisha kwa kichina ni vingi kuliko kiingereza.
Ishu za kilatini ni misamiati na inatoholewa kwenda kwenye lugha mbali mbali ili kurahisisha uelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app