Pendekezo la entrepreneurship club kwa jf members kanda ya kaskazini, tanga,arusha,kilam na manyara

ni mkusanyiko wa vijana graduants(35) ambao ni unemployed katika formal sectors.iko kwenye birth stage inafikiria kutoa services na products mbalimbali ,consultance inclusive.

Mkuu hao 35 graduate ni kila mtu ana wazo la kufanya biashara au mnataka kuanzisha kwa pamoja, ila ni hatua nzuri sana mkuu,
 
Why kaskazini mkuu chasha?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Why kaskazini mkuu chasha?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mkuu kaskazini kwa sababu ndo makazi yangu,Ila wewe huko uliko unaweza ku organize tu, ni muhimu kwa watu wa maeneo jirani, Mfano Dar na Pwani na Moro, Mwanza, Mara, Kagera na Shinyanga
 
Mkuu kaskazini kwa sababu ndo makazi yangu,Ila wewe huko uliko unaweza ku organize tu, ni muhimu kwa watu wa maeneo jirani, Mfano Dar na Pwani na Moro, Mwanza, Mara, Kagera na Shinyanga

Nimekusoma mkuu.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Chasha, Hili wazo lilifanikiwa?
 
Last edited by a moderator:
Chasha, Hili wazo lilifanikiwa?

Halikufanikiwa na halitakaa lifanikiwe, Mimi nazani ki bora kila mtu akapambana kivyake vyake tu, na nisha achana nalo mida mingi sana, Na sababu ni kwamba haku a aliye itikia hata mmoja,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…