Wabongo si wazalendo wa nchi yetu hata kidogo, wenzetu wako na uchungu sana na nchi zao, kuna nchi pale mashariki ya kati, kama sikosei ni Syria, Mkate uliongezwa bei kwa senti 20 tu watu walitafutana, maandamano ya kufamtu, viongozi wanakosa kura, wwengine wanatimuliwa kazi, sisi hapa kila kitu kinafanywa against US wananchi tunabaki kunung'unikia kichinichini tuu, TUANDAMANE WAKUU, nchi zote zenye demokrasia ya kweli hasa ulaya na marekani ukisoma historia yao walisha chinjana sana kwa mambo ya kipuuzi kama haya, mpaka kustarabika kafara ishatolewa sana tuu.