Pendekezo: Madiwani na viongozi wa DSM wakajifunze Usafi Manispaa ya Moshi

Pendekezo: Madiwani na viongozi wa DSM wakajifunze Usafi Manispaa ya Moshi

Mpoto simsikii, yuko wapi? Au yuko Chato isolation? 😳😳😳😳😳😳Mpoto ni saizi ya nyinyi wa elimu ndogo!😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Leo alikuwa hapo Togo na Ufipa na gari la matangazo akitoa elimu ya kunawa mikono!
 
Swala la usafi haliitaji taaluma.
Usafi na uchafu ni hulka na taaluma za watu Mkuu...
Kuna watu ambao kazi zao ni lazima zizalishe uchafu... tena mwingi tu..
Na kuna wengine ambao majukumu yao ni lazima wachafue na wachafuke...!!
Na kuna wengine wapo ambao hawajuhi nini maana ya uchafu... Na hata wakiuona hawautambui...!!
 
anapita kwa wenzake wenye elimu ndogo. Mpoto hana la kunifundisha mimi maana wasanii wote ni WASANII na USANII!
Haya bhana...... Lakini nimewaona akina Mnyika na vijana wake wakimpigia makofi!
 
Usafi na uchafu ni hulka na taaluma za watu Mkuu...
Hapo kwenye hulka tupo pamoja. Usafi kwenye miji yetu hauitaji uwe na vyeti. Hifadhi za baabara zinaeleweka, sehemu za kufanya biashara zinaeleweka na sehemu nyingine nyingi tu, lakini kodi wanalipa usafi hakuna anayejisumbua.kushughulikia.
Nenda kwenye masoko ukaone hali ilivyo na hizi mvua, Je inahitaji dergree?
Kuna sehemu pale Kariakoo muda wote panatirirsha maji ya chooni, panachemba imepasuka. Je unahitaji vyeti?
Vyeti ni wakaguzi wa mabucha, mazingira ya watoahuduma za chakula(migahawa) na wengine wanaotoa huda kama hizo, hapo kweli elimu inahusika.
 
Hapo kwenye hulka tupo pamoja. Usafi kwenye miji yetu hauitaji uwe na vyeti. Hifadhi za baabara zinaeleweka, sehemu za kufanya biashara zinaeleweka na sehemu nyingine nyingi tu, lakini kodi wanalipa usafi hakuna anayejisumbua.kushughulikia.
Nenda kwenye masoko ukaone hali ilivyo na hizi mvua, Je inahitaji dergree?
Kuna sehemu pale Kariakoo muda wote panatirirsha maji ya chooni, panachemba imepasuka. Je unahitaji vyeti?
Vyeti ni wakaguzi wa mabucha, mazingira ya watoahuduma za chakula(migahawa) na wengine wanaotoa huda kama hizo, hapo kweli elimu inahusika.

Mkuu hizo ni taaluma za watu unazungumzia...
Wewe umefanikiwa kujua ni uchafu kwa sababu una uelewa fulani juu ya taaluma ya usafi na uchafu...
Kuna watu wengi tu wasiokuwa na taaluma wala uelewa kama wako... Wao wala hawaoni tatizo...
Binafsi kuna siku nilipita Kariakoo kipindi hiki cha mvua nikasema sirudi tena... Yaani kote kulia kushoto nyuma mbele kote pananuka harufu za uozo uliooza!
Nilitapika balaa...!!
Mimi naamini kuwa hatuhitaji maombi wala ramli kutatua changamoto za uchafu kwenye miji yetu... Matatizo yanayosabishwa na binadamu yanahitaji taaluma, uelewa na mipango sahihi
 
kama kuna vitu bashite amefeli ni USAFI...dasilamu ni chafuuu

ni chafu hasaaa...na hii corona sijui takuwaje?

ushauri;waazime nhao viongozi wa Moshi wawasaidie
 
Mkuu hizo ni taaluma za watu unazungumzia...
Wewe umefanikiwa kujua ni uchafu kwa sababu una uelewa fulani juu ya taaluma ya usafi na uchafu...
Kuna watu wengi tu wasiokuwa na taaluma wala uelewa kama wako... Wao wala hawaoni tatizo...
Binafsi kuna siku nilipita Kariakoo kipindi hiki cha mvua nikasema sirudi tena... Yaani kote kulia kushoto nyuma mbele kote pananuka harufu za uozo uliooza!
Nilitapika balaa...!!
Mimi naamini kuwa hatuhitaji maombi wala ramli kutatua changamoto za uchafu kwenye miji yetu... Matatizo yanayosabishwa na binadamu yanahitaji taaluma, uelewa na mipango sahihi
Wataalamu wa afya ya jamii wapo wengi sana. Nahisi kuna mpaka ...Afisa Afya Jamii wa Kata(sidhani kama wanaitwa hivyo), Je wanafanya kazi zao inavyotakiwa.? Kweli kabisa Watu wetu wengi hawana elimu kuhusu mazingira na usafi katika sehemu zinazowazunguka.
 
Wataalamu wa afya ya jamii wapo wengi sana. Nahisi kuna mpaka ...Afisa Afya Jamii wa Kata(sidhani kama wanaitwa hivyo), Je wanafanya kazi zao inavyotakiwa.? Kweli kabisa Watu wetu wengi hawana elimu kuhusu mazingira na usafi katika sehemu zinazowazunguka.
Mkuu hao mara nyingi ni weupe sana kwenye taaluma ya uchafu na usafi...
As a consultant nakutana nao mara nyingi...
Aisee ni weupe! Na wanalipwa mishahara kufanya wasivyovijua...!!
In short... Usafi na uchafu wa MAZINGIRA ni taaluma inayopaswa kuanza tangu mtu akiwa mtoto shule ya awali ili akuwe nayo...!!
Ni taaluma ngumu sana hasa kutokana na mahitaji ya muda, uchumi, idadi ya watu, imani na siasa!!
 
Back
Top Bottom