Pendekezo: Mwinyi Zahera, ainoe Taifa Stars

Pendekezo: Mwinyi Zahera, ainoe Taifa Stars

Mbumbumbu Fc hawawezi kubali hii.
Wewe ni mkongomani nini, maana hata kuandika kwako, Unaandika kikombani tu.

Hawawezi Kubali x.
Hawawezi Kukubali √
Hawawezi kubali hii, jambo, Ulichoeleza, Uliloandika. x
Hawawezi kukubali hili, Jambo, Ulichoeleza, Ulichoandika. √
 
atakuwa anafundisha timu tatu, congo, tanzania, na yanga
 
*Yanga ni utamaduni wa Mtanzania,ni hazina ya urithi wetu na hifadhi ya mapokeo,ni Tunu ya Wananchi na alama ya Uhuru wetu. Ewe Mwanajangwani usikose jpili 9/12/2018 kusherekea siku ya Uhuru kwa kuwatizama mabingwa mara nyingi Tanzania Yanga wakichuana na Biashara toka Musoma alikozaliwa Mpigania Uhuru Baba wa Taifa letu na Shabiki Nguli wa Yanga Hayati Mwl Nyerere*

*Tusherekee Uhuru wetu kwa kuitizama Tunu ya Taifa Letu Yanga...Usikose ewe Mwanachi*

Daima mbele nyuma mwiko
Umenena vema
 
Wewe ni mkongomani nini, maana hata kuandika kwako, Unaandika kikombani tu.

Hawawezi Kubali x.
Hawawezi Kukubali √
Hawawezi kubali hii, jambo, Ulichoeleza, Uliloandika. x
Hawawezi kukubali hili, Jambo, Ulichoeleza, Ulichoandika. √
Hahah eti mbumbumbu inanikosoa uandishi wangu. Trust me mkuu, najua wapi nitumie lugha rasmi na wapi nisitumie.
 
Back
Top Bottom