mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Hawa jamaa ni jasiri sana linapokuja suala la kuchukua takrima.
Japo wapo wachache waaminifu ila kwa siku hizi mbili jana na leo nimewaona wakiwa makini barabarani kukagua ila konda na dereva nawasikia tu wanatajiana viwango vya kuwapa kila gari linaposimamishwa.
Kupunguza rushwa (sio kuondoa maana niliwahi kumuona mmoja posta mpya rushwa zake anatunza kwa fundi viatu) wasiwe na nguo zenye mifuko.
Pamoja na yote, nawapongeza kikosi fulani cha traffic huwa wanatembea wengi kwenye kama Noah na wakati mwingine zile land cruiser zenye viti nyuma.
Hawa wakisimama sehemu hata tsh 0 hawachukui ni kuandikiwa kila kosa. hakuna mjadala wala rushwa. sijui Kwa nini ila kama bado wanaendelea vile Wabarikiwe sana..
Japo wapo wachache waaminifu ila kwa siku hizi mbili jana na leo nimewaona wakiwa makini barabarani kukagua ila konda na dereva nawasikia tu wanatajiana viwango vya kuwapa kila gari linaposimamishwa.
Kupunguza rushwa (sio kuondoa maana niliwahi kumuona mmoja posta mpya rushwa zake anatunza kwa fundi viatu) wasiwe na nguo zenye mifuko.
Pamoja na yote, nawapongeza kikosi fulani cha traffic huwa wanatembea wengi kwenye kama Noah na wakati mwingine zile land cruiser zenye viti nyuma.
Hawa wakisimama sehemu hata tsh 0 hawachukui ni kuandikiwa kila kosa. hakuna mjadala wala rushwa. sijui Kwa nini ila kama bado wanaendelea vile Wabarikiwe sana..