Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,366
nenda depo na wewe.. wivu tuu....
tuvae nguo bila mifuko vipi?..
vaa mwenyewe nguo ka' pazia.......halafu uone..
tuvae nguo bila mifuko vipi?..
vaa mwenyewe nguo ka' pazia.......halafu uone..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya afande...😁😁 eti ngua kama pazianenda depo na wewe.. wivu tuu....
tuvae nguo bila mifuko vipi?..
vaa mwenyewe nguo ka' pazia.......halafu uone..
au miwani yenye camera (spy)Sasa hivi wanaambiwa kapeleke kwa shoeshiner pale, au kwenye kibanda cha mama lishe au muuza supu.
Hachukui wao moja kwa moja, wanaogopa makamera ya smartphone na smart watch.
Ukiwekwa idara ya traffic ni sawa na kupewa ulaji. Utabadilisha mboga kila siku, watoto watasoma na nyumba utajenga.
Ukipokea taarifa za kupandishwa cheo utoke hapo unaweza kuzimia.
wavae kanzu isiyo na mifuko au overallHawa jamaa ni jasiri sana linapokuja suala la kuchukua takrima.
Japo wapo wachache waaminifu ila kwa siku hizi mbili jana na leo nimewaona wakiwa makini barabarani kukagua ila konda na dereva nawasikia tu wanatajiana viwango vya kuwapa kila gari linaposimamishwa.
Kupunguza rushwa (sio kuondoa maana niliwahi kumuona mmoja posta mpya rushwa zake anatunza kwa fundi viatu) wasiwe na nguo zenye mifuko.
Pamoja na yote, nawapongeza kikosi fulani cha traffic huwa wanatembea wengi kwenye kama Noah na wakati mwingine zile land cruiser zenye viti nyuma.
Hawa wakisimama sehemu hata tsh 0 hawachukui ni kuandikiwa kila kosa. hakuna mjadala wala rushwa. sijui Kwa nini ila kama bado wanaendelea vile Wabarikiwe sana..
mkuu kumbe wameshindikana, kwa ubunifu huu hakuna namna sijui watabanwaje.Bora waendelee kuwekewa mifuko, binafsi nimewahi kuona traffic ananiambia kafungue buti la ile gari pale uweke, nilivyoenda nikakuta ndoo ndogo ya maji imejaa elfu 5 na elfu 10, nikabaki nashangaa, alivyoona nachelewa kuondoka akanikoromea "wewe hapo unasubiri nini nimekwambia weka uondoke"
Kama wapo watatu mwisho wa siku wanagawana, na wakishaona njia hiyo "wameshayapiga mkono" magari ya kutosha wanahamia njia nyingine, tembeeni muone.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]Lengo lako sio zuri unafikiri ile nyumba nitamalizia vipi kujenga? Wakati nimeshaanza kuwekeza kidogo kidogo kwenye IST
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nao kabisa hao watu, ukiwaona wamevaa zile sare zao nyeupe zimechafuka vumbi usiwacheke, wao ndio wanakucheka wewe.mkuu kumbe wameshindikana, kwa ubunifu huu hakuna namna sijui watabanwaje.
Na ni ngumu kuwaambia wasivae braWataficha kwenye maziwa au kwenye pensi wanazovaa ndani.
Hela haikosekani pa kuwekwa wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app