Pendekezo : Nguo za Askari wa usalama barabarani zisiwe na mifuko

nenda depo na wewe.. wivu tuu....
tuvae nguo bila mifuko vipi?..
vaa mwenyewe nguo ka' pazia.......halafu uone..
 
wavae kanzu isiyo na mifuko au overall

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora waendelee kuwekewa mifuko, binafsi nimewahi kuona traffic ananiambia kafungue buti la ile gari pale uweke, nilivyoenda nikakuta ndoo ndogo ya maji imejaa elfu 5 na elfu 10, nikabaki nashangaa, alivyoona nachelewa kuondoka akanikoromea "wewe hapo unasubiri nini nimekwambia weka uondoke"

Kama wapo watatu mwisho wa siku wanagawana, na wakishaona njia hiyo "wameshayapiga mkono" magari ya kutosha wanahamia njia nyingine, tembeeni muone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kumbe wameshindikana, kwa ubunifu huu hakuna namna sijui watabanwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…