Pendekezo: Oral interview zingine zingefanyikia Zanzibar

Pendekezo: Oral interview zingine zingefanyikia Zanzibar

19911008

Member
Joined
Aug 31, 2024
Posts
19
Reaction score
40
Jamhuri ya muungano.

Katika moja na mbili nikakutana na kijana anayeishi upande huu wa pili wa shilingi (Zanzibar), akiwa mnyonge sana, mdomo mkavu mithili ya dagaa wa nyasa waliokaushwa, kichwa kingali kimevurugwa kiasi, akasema "natamani Oral interview ifanyiwe huku pia. Nikamuuliza "why so?", akasema " nauli ...."! Nikamwambia ngoja niingie JFM nitoe pendekezo labda watasikia na kufikiria namna ya kuleta maafisa usaili huku kwenye "second side of the coin..."(joking)!

Kazi iendelee........ 5 more!
 
Jamhuri ya muungano.

Katika moja na mbili nikakutana na kijana anayeishi upande huu wa pili wa shilingi (Zanzibar), akiwa mnyonge sana, mdomo mkavu mithili ya dagaa wa nyasa waliokaushwa, kichwa kingali kimevurugwa kiasi, akasema "natamani Oral interview ifanyiwe huku pia. Nikamuuliza "why so?", akasema " nauli ...."! Nikamwambia ngoja niingi nitoe pendekezo labda watasikia na kufikiria namna ya kuleta maafisa usaili huku kwenye "second side of the coin..."(joking)!

Kazi iendelee........ 5 more!
Wamezidi sasa kwao sisi haturuhusiwi wao mpk huku wanakuja kuna kitu wanachotutaka hao
 
Back
Top Bottom