Mh Rais najua unapitapita kwenye mitandao, najua viongozi wengi unaochagua unaletewa majina baada ya kufanya vetting lakin mwisho wa siku wewe ndio unafanya final selection
Sasa Mh Rais Samia kuna Hawa watu Mwele Malecela, Maria Sarungi na Fatuma karume walishitupwa nje ya system na utawala wa Mwendazake hayati Magufuli
Maria Anaishi uamishoni kama sikosei baada ya kukosoa utawala wa Mwendakazi
Fatuma katupwa Zanzibar kukanyaga dar ilikuwa mbinde kwenye utawala wa awamu ya 5
Mwele Malecela huyu aliogopa kuja Tz baada ya kutimuliwa NMRI
Mh Samia jua kuwa system inayokuletea viongozi kamwe hatakuletea watu makini kama hawa na wengi
Sio kwamba nawapigia debe ila historia yao ndio inanituma nikupe ili pendekezo
KWA KUANZA MCHAGUA MARIA SARUNGI TSEHAI KUCHUA NAFSI YA MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU
Sasa Mh Rais Samia kuna Hawa watu Mwele Malecela, Maria Sarungi na Fatuma karume walishitupwa nje ya system na utawala wa Mwendazake hayati Magufuli
Maria Anaishi uamishoni kama sikosei baada ya kukosoa utawala wa Mwendakazi
Fatuma katupwa Zanzibar kukanyaga dar ilikuwa mbinde kwenye utawala wa awamu ya 5
Mwele Malecela huyu aliogopa kuja Tz baada ya kutimuliwa NMRI
Mh Samia jua kuwa system inayokuletea viongozi kamwe hatakuletea watu makini kama hawa na wengi
Sio kwamba nawapigia debe ila historia yao ndio inanituma nikupe ili pendekezo
KWA KUANZA MCHAGUA MARIA SARUNGI TSEHAI KUCHUA NAFSI YA MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU