Pendekezo: Tanzania tuwe na miji mikuu miwili ya nchi, Dodoma na Dar es Salaam

Pendekezo: Tanzania tuwe na miji mikuu miwili ya nchi, Dodoma na Dar es Salaam

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa sababu Dar es Salaam bado ni mji muhimu sana katika utawala wa nchi kutokana na uwepo wa miondombinu ya kutosha na kuwa mji mkubwa wa kibiashara na pia kwa sababu kwa upande mwingine Dodoma ni mji muhimu sana kwa sababu Baba wa Taifa Mwl. Nyerere alishaamua na kuelekeza uwe ndio mji mkuu wa nchi ni bora sasa tukafanye miji yote miwili ya Dar es Salaam na Dodoma kuwa miji mikuu ya nchi, baadhi ya taasisi ziwe Dodoma na baadhi ziwe Dar es Salaam.

Tanzania haitakuwa nchi ya kwanza kuwa ni miji mikuu miwili, kuna nchi nyingine pia kama Malaysia, Sri-Lanka na Eswatini zenye miji mikuu miwili. South Africa yenyewe ina miji mikuu mitatu.
 
Kwa sababu Dar es Salaam bado ni mji muhimu sana katika utawala wa nchi kutokana na uwepo wa miondombinu ya kutosha na kuwa mji mkubwa wa kibiashara na pia kwa sababu kwa upande mwingine Dodoma ni mji muhimu sana kwa sababu Baba wa Taifa Mwl. Nyerere alishaamua na kuelekeza uwe ndio mji mkuu wa nchi ni bora sasa tukafanye miji yote miwili ya Dar es Salaam na Dodoma kuwa miji mikuu ya nchi, baadhi ya taasisi ziwe Dodoma na baadhi ziwe Dar es Salaam.
Ukiwauliza wazungu wengi hawaijui dodoma wala dar ila wanajua Kilimanjaro
 
Unadhani ni lini maeneo mengine au mikoa mingine itakua?
Mfano kama serikali itahamia Dodoma tegemea mikoa au miji mingine itakua zaidi mfano iringa, singida, Manyara, Morogoro n.k
Kwasababu kufika mji mkuu ni chini ya masaa 4 unakuwa umefika hivyo wengi wa maeneo hayo watakuwa kiuchumi
 
Kwa sababu Dar es Salaam bado ni mji muhimu sana katika utawala wa nchi kutokana na uwepo wa miondombinu ya kutosha na kuwa mji mkubwa wa kibiashara na pia kwa sababu kwa upande mwingine Dodoma ni mji muhimu sana kwa sababu Baba wa Taifa Mwl. Nyerere alishaamua na kuelekeza uwe ndio mji mkuu wa nchi ni bora sasa tukafanye miji yote miwili ya Dar es Salaam na Dodoma kuwa miji mikuu ya nchi, baadhi ya taasisi ziwe Dodoma na baadhi ziwe Dar es Salaam.

Tanzania haitakuwa nchi ya kwanza kuwa ni miji mikuu miwili, kuna nchi nyingine pia kama Malaysia, Sri-Lanka na Eswatini zenye miji mikuu miwili. South Africa yenyewe ina miji mikuu mitatu.
Dar pekee yake inatosha kuwa mji mkuu
 
📌TUWE NA MIJI MIKUU 7 KABISA HII ITAONGEZA WGXVHHCNBNNMN Xxvvbdscvdvbbhgbnjjjjjnbfffwsghjjdfdggcffgggvgggg blaaablaaablaaaaa👏👏👏👏👏

📌Yaani maoni ya mtoa mada ndio reflection ya mtu MWEUSI,HAKIKA NI HUZUNI😀😀😀

#ALWAYS SHITHOLE COUNRTY WITH ITS SHITHOLE PEOPLE!!
 
Kwa sababu Dar es Salaam bado ni mji muhimu sana katika utawala wa nchi kutokana na uwepo wa miondombinu ya kutosha na kuwa mji mkubwa wa kibiashara na pia kwa sababu kwa upande mwingine Dodoma ni mji muhimu sana kwa sababu Baba wa Taifa Mwl. Nyerere alishaamua na kuelekeza uwe ndio mji mkuu wa nchi ni bora sasa tukafanye miji yote miwili ya Dar es Salaam na Dodoma kuwa miji mikuu ya nchi, baadhi ya taasisi ziwe Dodoma na baadhi ziwe Dar es Salaam.

Tanzania haitakuwa nchi ya kwanza kuwa ni miji mikuu miwili, kuna nchi nyingine pia kama Malaysia, Sri-Lanka na Eswatini zenye miji mikuu miwili. South Africa yenyewe ina miji mikuu mitatu.
Tufanye hivyo mara ngapi?
 
Back
Top Bottom