Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohoo hapo sawa kumbe una ujuzi me too nazilima plus strawberries,,hasahasa strawberry..sasa hv bei mby arghhh (nyanya)
Hapo ndio utaona mafanikio...ila simu zinadanganya mtu anaweza akakudanganya mazao yameungua...kumbe kakuzuga...amevuna na macanter amejazaSIKU ZOTE KITU CHA KITU CHA KUCHANGIA WOTE MUWE WAFANYAKAZI MWANZO,HADI MWISHO.
Asante....nikipata tip ya huko nitakuja kukuonakaribu naishi morogoro
Pole sana, mungu akipenda ntakutafuta skumoja unifunze machacheNilikuwa kwenye kundi la mtandao wasap! kilichotokea ni majonzi! hamasa ikawa juu, tukabun mradi wa mahindi, na pili pili. mahindi tukaweka mmoja wetu, akashindwa kufuatilia maji, mahind yakakauka karibu yatoe mbelewele. pia nilikuwa na mrad mwingine na yeye, mahind yakakomaa, na nikayaona. baadaye ananiambia yameibiwa shamba, akaokoteza kapata gunia 3, ilikuwa eka 2. nikamwambia uza unitumie gawio. gawio hakutuma, enz izo gunia n elfu 30. nikamfata, nikaambulia elfu 20. nyingine ikawa danadana, had nikakata tamaa. nilichangia lak 7 katika huo mradi, na ule mwingine lak na nusu. haya, kwenye pili pili, sikuchanga, ila watu 10 kila mmoja alitoa laki 2, then mhazin akatokomea. asee! kwa sasa mim ni manager wa shamba fulan kubwa tu, pia nina lakwangu! kulima na usiyemjua ni tabu, ni bora ukala hiyo hela unenepe
Upo wapi mkuuMi nimo nipe michakato
Upo wapi mkuu
Poa...kaka...vipi mvua ukoNipo Moro kiongozi
AddNimefikiri kitu kimoja baada ya kuona kuwepo watu wengi kutafuta partner/ mtu wa kushirikiana nae katika kilimo.
Kuna changamotoAdd hii no 0753962832ingi sana katika kushare biashara maana kila mtu anakuwa ana malengo yake wengi huwa wanaumia na kulia na wengine huwa washangilia kwa mafanikio.
Nimeona tufanye hivi; mnajiunga mnakuwa labda 5 mnaingia Morogoro kwenda kulima maharage mnakodi heka 10.
Zile heka kumi mtagawana kulingana na uhitaji wa mtu mwenyewe, kila mtu atagharamia kivyake. Hii ni kuchangia ujuzi na sio fedha kwa sababu mtakuwa mnalima karibu karibu.
Ukisema mmoja atoe pesa na mwingine atoe ujuzi mara nyingi mwisho wake sio mzuri. Lakini hii itakusaidia kukujengea kujiamini na uzoefu na ujuzi zaidi.
KWA MTAZAMO WANGU
tuunde kikundi ambacho tutakutana whatsapp ambapo tutajadili tulime nini na tukalime wapi na nikiasi gani cha heka kitahitajika, hii itamsaidia hata yule mwenye uwezo wachini kupata hata robo au nusu heka.
Endapo tutakuta na kufanikiwa kuunda hicho kikundi na kuingia shambani kuanzia kuandaa shamba, kupanda yaani hatua zote tufanye wenyewe ili kuongea ujuzi zaidi.
Pia itatuwezesha kupaza sauti kwa serikali kama kutakuwa tunahitaji msaada maana tutakua ni vijana wa mfano katika taifa. Naimani viongozi na mawaziri hasa wa kilimo watatupeleka mbali.
Lazima tujigawa katika kilimo kutakuwa na watu watakao lima maharage, mpunga, karanga, labda na ufuta hapo lazima taifa litutambue maana sisi ndio tutakua wakwanza na njia rahisi sana ya kupata mikopo ya kifedha na dhana za kilimo.
Add hii no 0752862832