Pendeza siku ya harusi

Pendeza siku ya harusi

Bitoz

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2015
Posts
30,823
Reaction score
126,553
Waungwana mpo?

Juma Nature aliwahi kusema Sitaki demu lakini siku chache baadaye ajabambwa akiwa na denu shombe shombe wa uswahilini nafikiri ndiye mkewe hadi sasa.

Mwanafalsa naye aliwahi kuulizwa ataoa lini na kujibu Bado niponipo sana, kumbe alikuwa anazuga tu kwani kilichofuata kinajulikana

Siku ya harusi ni miongoni mwa siku muhimu maishani. Ni siku ambayo mtu anaoa/kuolewa kihalali kabisa tena mbele ya kadamasi. Ni siku ya kipekee maishani iliyojaa furaha ya kila aina bila kusahau mbwembwe. Ni siku ambayo kamera zote. zinakutazama ili kuchukua tukio hilo la kumbukumbu.

Sasa basi hapa ni uzi ambao unazungumzia mavazi ya bwana na bibi harusi,bestman/woman na wapambe wao
Iwe ya kikristo,Kiislamu,kimila au ya bomani ndoa ni ndoa tu. Sherehe ikifana ndo habari ya mjini. Hebu tujionee watu wanavyopendeza.
1473320346261.jpg
1473320353454.jpg
1473320358909.jpg
1473320363451.jpg
1473320368368.jpg
1473320380953.jpg
1473320385562.jpg

3e5900066418b11ed07d388cbf975590.jpg
3eb87c88b5a8e4d9cfd5ce1d15409aec.jpg
99858b9928eb8fc2e836066ccb211cbe.jpg

1e51fbcd7e2ba4391aa82349f9a9da36.jpg
9d10d7c549b7e9f76d628616ca2763bd.jpg
7e932abc57440734657fdc31458769a1.jpg
757418e78b1e0ade63f858a80146c85c.jpg


Nyangema uchwara utaoa lini? Bado nipo nipo sana

The Bitoz
 
Last edited:
Huyo bibi harusi wa kwanza nampataje?
 
Back
Top Bottom