Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,553
Waungwana mpo?
Juma Nature aliwahi kusema Sitaki demu lakini siku chache baadaye ajabambwa akiwa na denu shombe shombe wa uswahilini nafikiri ndiye mkewe hadi sasa.
Mwanafalsa naye aliwahi kuulizwa ataoa lini na kujibu Bado niponipo sana, kumbe alikuwa anazuga tu kwani kilichofuata kinajulikana
Siku ya harusi ni miongoni mwa siku muhimu maishani. Ni siku ambayo mtu anaoa/kuolewa kihalali kabisa tena mbele ya kadamasi. Ni siku ya kipekee maishani iliyojaa furaha ya kila aina bila kusahau mbwembwe. Ni siku ambayo kamera zote. zinakutazama ili kuchukua tukio hilo la kumbukumbu.
Sasa basi hapa ni uzi ambao unazungumzia mavazi ya bwana na bibi harusi,bestman/woman na wapambe wao
Iwe ya kikristo,Kiislamu,kimila au ya bomani ndoa ni ndoa tu. Sherehe ikifana ndo habari ya mjini. Hebu tujionee watu wanavyopendeza.
Nyangema uchwara utaoa lini? Bado nipo nipo sana
The Bitoz
Juma Nature aliwahi kusema Sitaki demu lakini siku chache baadaye ajabambwa akiwa na denu shombe shombe wa uswahilini nafikiri ndiye mkewe hadi sasa.
Mwanafalsa naye aliwahi kuulizwa ataoa lini na kujibu Bado niponipo sana, kumbe alikuwa anazuga tu kwani kilichofuata kinajulikana
Siku ya harusi ni miongoni mwa siku muhimu maishani. Ni siku ambayo mtu anaoa/kuolewa kihalali kabisa tena mbele ya kadamasi. Ni siku ya kipekee maishani iliyojaa furaha ya kila aina bila kusahau mbwembwe. Ni siku ambayo kamera zote. zinakutazama ili kuchukua tukio hilo la kumbukumbu.
Sasa basi hapa ni uzi ambao unazungumzia mavazi ya bwana na bibi harusi,bestman/woman na wapambe wao
Iwe ya kikristo,Kiislamu,kimila au ya bomani ndoa ni ndoa tu. Sherehe ikifana ndo habari ya mjini. Hebu tujionee watu wanavyopendeza.
Nyangema uchwara utaoa lini? Bado nipo nipo sana
The Bitoz
Last edited: