Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Dar unapatikana wapi?Faida,
[emoji298]Nyumba hupendeza
[emoji298]kuonekana nadhifu mda wote
[emoji91]Rahisi kusafishika
[emoji91]Hakuna scratches
[emoji91]No bacterial
0757 066208
View attachment 1715908View attachment 1715909View attachment 1715910View attachment 1715911View attachment 1715912View attachment 1715913
Hapo nligusia kwa case ya ndani ila nje kuna aina zake za floor hiyo 3D haifai kabisa jua lazima liathiri kwa kiasi chake.Kwa sakafu ya nnje,ambayo inapgwa na Jua Mchana wote huo mng'ao utadumu milele?
Watu wakiwa wanakatiza katiza haichubuki na kupoteza mvuto "mng'ao" kupotea kbsa au kufifika?
Nmeipenda sana nataman iweka kwenye 1 ya ofisi zangu kwa nnje pale,sema hilo nyomi la wateja
nahisi kama huo mng'ao utakaa wiki TU na kupotea ,niondoe wasi wasi wangu mkuu nijue najilipuaje...
nasubiri Sample za Floor za OUTDOOR jua lake,Mvua Yake,nk NijibastisheHapo nligusia kwa case ya ndani ila nje kuna aina zake za floor hiyo 3D haifai kabisa jua lazima liathiri kwa kiasi chake.
Jilipue tu mkuu[emoji2] tu subiri ntakuonyesha sample za floor za nje tushauriane vijana waingie kazini.