Hii mbona kawaida sana? Mpaka hii thread ifike mwisho utakuwa umeshapata findings na kukonkludi nilichokuambia. Michael Scofield keshalikubali na analitambua hili!Rejao...................huu utafiti uliufanya lini.....................sijawahi kusikia kitu kama hiki maishani mwangu naanza leo............
Ruta..Kati ya vitu ambavyo wanaume wengi tunashindwa kuvijali ni chupi na soksi.....
Utakuta mwanaume ana chupi moja tu na soksi pea moja, sasa bora chupi ni siri ya ndani, utakoma akivua viatu....lol!
Wanaume wanahitaji somo sana kuhusu hivi vitu.
Hii mbona kawaida sana? Mpaka hii thread ifike mwisho utakuwa umeshapata findings na kukonkludi nilichokuambia. Michael Scofield keshalikubali na analitambua hili!
duu kwa hyo ile harufu ndio maneno yake chupi..
Duh... Hii imeniepuka, maana mie navaa Likaputula badala ya chupi................
Kwani mlikuwa hamjui kwamba chupi husababisha maumbile kuwa KIBAMIA, nani anataka kero hiyo..... Mie najivalia Likaputula langu ili maumbile yangu yajimwae-mwae kwa ustawi wa kukua kwa unene na kimo...................LOL
Nyie mnaangaika na machupi yenu hapa...! Sie huku kwetu umasaini hakuna hiyo kitu kabisa.
Mi sivaagi kabisa ndo maana huwa sichomekei shati...... Nimeeleweka?Duh... Hii imeniepuka, maana mie navaa Likaputula badala ya chupi................
Kwani mlikuwa hamjui kwamba chupi husababisha maumbile kuwa KIBAMIA, nani anataka kero hiyo..... Mie najivalia Likaputula langu ili maumbile yangu yajimwae-mwae kwa ustawi wa kukua kwa unene na kimo...................LOL
Rutashubanyuma, usije ukamaliza hii ukaleta mjadala wa za kike! Siku hizi hata kulipia hela tunaona uchungu manake ni sawa na hatuvai kabisa! Kha!
Hahaah lol! Naona King'asti unaanza kuchomekea mjadala mtamu!Rutashubanyuma, usije ukamaliza hii ukaleta mjadala wa za kike! Siku hizi hata kulipia hela tunaona uchungu manake ni sawa na hatuvai kabisa! Kha!
Achana na michupi ya mirangi bana,go for white halafu ziwe pyua cotton.
Mi bora nivae msuruali wa hovyo lakini ndani ni feel comfortable.