Pengine hujui lakini chupi ya mwanaumme nayo huongea!

asante, ukikutana na mtu kavaa nyeupe day one.
Ujue kavaa nguo ya ubarikio huwa hafui huyo.

Coloured, safi mpango mzima.

Kongosho marangi yanaficha mengi...........................
 
Last edited by a moderator:
nachukua rokoo ya vyupi mvaavyo, endeleeni kutaja.

Kongosho...................by the way wewe ni brief au boxer au patupu?
 
Last edited by a moderator:
Sidhani kama mtu mzima anahitaji rangi fulani ili kuwa msafi.

Usafi ni tabia, hata akivaa nyeupe kama si msafi utamkuta na amazon forest au harufu ya beberu.

Kongosho marangi yanaficha mengi...........................
 
Sidhani kama mtu mzima anahitaji rangi fulani ili kuwa msafi.

Usafi ni tabia, hata akivaa nyeupe kama si msafi utamkuta na amazon forest au harufu ya beberu.

Kongosho............marangirangi ni yake ambayo yanaficha uchafu..........zipo zenye rangi za mistari na mbazo uchafu hujionyesha hizo swafiii hazina mizengwe.....................ni kweli usafi ni mtu siyo mavazi yake.........
 
Last edited by a moderator:
ujue mie ni designer, huwa napiga zote kutegemeana na kuandama kwa mwezi.

Wakati mwingine nafunga kamba tu, ila mkwinto marfuku.

Kongosho...................by the way wewe ni brief au boxer au patupu?
 
Last edited by a moderator:
hahahahah..yaani nimcheka mpaka basi, haya we endelea na likaptula lako ulilolizoea! no comment

Sashel.......usimcheke mpe ushauri kwa kumwonyesha wewe ungelipenda awaje...............mpe elimu na [MENTION]Mtambuzi [/MENTION]ataelimika.............
 
Last edited by a moderator:

KakaKiiza..........................yote tisa lakini kumi kamwe usivae mtumba wa aina yoyote ile...............ni kheri uwe na nguo chache lakini siyo mtumba.lHizo TMK ni boxers!
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky, tena za vitenge huwa nzuri kwa kutokea usiku, na za kanga kwa kwendea beach.

kwani hata Boxer tunazovaa sisi nyingi matilio yake kama ya Vitenge ili kwa sababu zime designiwa vizuri na zimetengenezwa nje basi tunaona poa tu
 
Hapa ninakuunga mkono mkuu.

Du! mkuu sikuwezi!
Mie pia navaa msuri mwanzo mwisho, sie wakazi wa visiwa vya ngazija hatuna makuu.
Vyupi tumewaachia nyie wa kutoka bara.
Mimi napiga kaptula (msulupwete) kwa sababu alizozitaja Mtambuzi hapo juu.

Nyie mnaangaika na machupi yenu hapa...! Sie huku kwetu umasaini hakuna hiyo kitu kabisa.
Mko juu Mkuu! Ya nini kujibanabana?

 
I agree with you, white boxer inaonyesha usafi and that kafurushi kwa mbele makes me laugh with no reason..ha ha ha

[MENTION]Sashel [/MENTION]hasa ukijua kale kafurushi umeumbiw kwa matumizi yako binafsi lazima usikie maraha, vile..........
 

MAMMAMIA.......kweli ipo kazi kanzu nayo inaficha mwanga na mwili wa mwanadamu hahuhitaji mwanga kukua........Kaptula nayo ni boxer tu haian shida ila iwe laini si unajuwa ya kuwa babu hapendi mikwarauzo ile ya kaptula ya khaki?
 
Last edited by a moderator:
Ruta mbona wewe ukivaa kanzu na msuli huvai boxer unavaa ile ninihii sijui unaitaje vile?

arabianfalcon...............................mbona wanitisha hivyo? Au hata gobole langu sasa walijua..........................mie kanzu marufuku labda nikienda kijijini bukoba lakini hata kule boxer lazima niwe nimejitundika nayo..................AM a real man, u know that.............
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…